denoo49
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 6,113
- 6,937
Hapo ndipo Shoka lilipokatikia mpini.View attachment 505078
Sugu aka Bwana Mkubwa
Uzuri Ujumbe umewafikia Bara Bara.
Hapo ndipo Shoka lilipokatikia mpini.View attachment 505078
Sugu aka Bwana Mkubwa
Subiri yuko chooni anatumbo la kuharisha. Akimaliza kuhara atakuja kunya hapa.Cocochanel uko wapi mtu wako wa karibu,Bashite anadhalilishwa huku,kutupiwa madongo ya ukweli!
Sentensi haijakaa vizuriAiseee
'Mtoto wa kawawa mmemnyija UBUNGE'
Mtoto pampas inakuwasha mwambie mama akubadilishie.Nitajie majimbo ya chadema yenye umasikini sijakwambia unitajie CCM. Halafu jiheshimu mi nimtu mzima. Huko dodoma vijijini wanakula panya na kushindia viwavi jeshi kwani uwongo.na huko ndio jambo ya CCM.
Hayo maneno aliyasema SUGU akiwaambia Wabunge wa CCM kuwa wamemnyima kura Ubunge Aftika Mashariki mtoto wa kawawa na pia wamemnyima kura za ubunge wa Afrika Mashariki Mtoto wa NyerereSentensi haijakaa vizuri
Nyamagana,Ilemela,Kinondoni,Ubungo,Mbeya,Arusha hayajawahi kuwa majimbo masikini toka uhuru. Hawa wasaka tonge wameeshika miaka 7 ndani ya miaka 53.Yajue mambo kabla hujaandika. Nyamagana na Ilemela yalikuwa yanaongozwa na nani vipindi vilvyopita? Ukweli ni ukweli hata wewe umeukubali.
KUTEKWA...nafikiria tu waliotekwa walivyofanyiwa naye apate uzoefuHivi najiuliza ikithibitika kweli kama Huyo mkuu anatumia cheti kisichochake hukumu gani itamfaa huyu bwana?
Utetezi huu wa kipuuzi unaashiria kuwa umenielewa na huo ndio ukweli. Mbeya wataendelea kufaidika na mambo yatakayosimamiwa na Mh Mwanjelwa yaliyomo ndani ya ilani ya ccm tu.Una undugu na sizonje? Kazi ya mbunge siyo kutetea eneo moja kuna muda unatetea nchi kiujumla. Wewe endelea ukisema hakuna mbunge wakati wenzako wamemchagua ili hali wewe hadi mpenzi wako umechaguliwa na watu
Haifuti ukweli kuwa jimbo halina mwakilishi. Hasira za Wanambeya zinawatafuna wenyewe. Serikali haiwezi kuota kila mahitaji ya Wanambeya mjini. Ni mbunge pekee ndio wa kuyafuatilia ili yapewe kipaumbele.Wanambeya tunajua thamani yake mbunge kapata kura nyingi kuliko yeyote Tz na visiwani leo utokeee bwegee kama ww tukueleweje ww team bashite?
sisiemu sahau Mbeya mjini.pale hata Sambwee Shitambala hamuwezi Sugu kamwee mtapatapa saaanaHaifuti ukweli kuwa jimbo halina mwakilishi. Hasira za Wanambeya zinawatafuna wenyewe. Serikali haiwezi kuota kila mahitaji ya Wanambeya mjini. Ni mbunge pekee ndio wa kuyafuatilia ili yapewe kipaumbele.
Halahala na matusi yako ya jumla jumla hapa. Usije kulalamika kwa modes kuwa hukuonywa.Aina ya uwakilishi wa hoja bungeni kwa mh.Sugu ndio aina ya akili za walio mchagua.
Inapendezaaa Prezdaaaa Sugu.
Haya mtoto nenda kajisomee leo Jumamosi.sisiemu sahau Mbeya mjini.pale hata Sambwee Shitambala hamuwezi Sugu kamwee mtapatapa saaana
hivi leo uko period Mamdogo? Mbona usumbufu mwingi unadhani wote watoto? Ha haHaya mtoto nenda kajisomee leo Jumamosi.
Ma CCM yameshalewa yanaweweseka heri yetu tusio na ChamaHivi Simbachawene anajisikiaje anapojaribu kutetea uongo ili uwe ukweli mbele ya hadhira yote hiyo?