Weka hizo picha tuzione..maneno matupu kila m2 anakuona mzushi na una chuki binafsi! WEKA PICHA HIZONa picha zipo mkizihitaji..club 84
Hebu tujuze TheRedKop maana hawa ndiyo wawakilishi wetu kama wanafanya uchafu kwenye maclub na dada zetu inabidi tuwaanike hadharani na si kuwaficha. Tuletee picha zake kama unazo kweli...amalizie miaka yake.sidhan kama atapata tena mbeya. CDM najua ni watu makini..na hawataweza mrudisha mtu kama huyu,anaye fanya mambo ya ajabu katika kumbi za starehe na katika wall yake ya facebook.. Kiongozi kama mbunge,ni kioo cha chama..naomba kuwasilisha
LUGHA YA KISWAHILI NA UTAMADUNI WETU Mheshimiwa Spika, Kuhusu maendeleo ya Kiswahili, Tanzania inasifika kwa kuongea Kiswahili fasaha, lakini leo ukiingia katika tovuti yeyote duniani, ukiuliza Kiingereza utaambiwa asili yake ni Uingereza, Kifaransa asili yake Ufaransa, Kijapan asili yake Japan, Kijerumani asili yake Ujerumani, Kispanyola asili yake Hispania, lakini unapouliza Kiswahili, wanasema asili yake ni Kenya.
Unaonaje hizo picha za Sugu ukamwonyesha shemeji anaweza kuzimaind.Na picha zipo mkizihitaji..club 84
Waziri huwa anajisahau na kuona wizara ni ya mpira wa miguu tu,jamaa mzima sana tena mbishi yuko chama imara ndiyo maana upeo wake unaongezeka kila siku.bravo man.
...amalizie miaka yake.sidhan kama atapata tena mbeya. CDM najua ni watu makini..na hawataweza mrudisha mtu kama huyu,anaye fanya mambo ya ajabu katika kumbi za starehe na katika wall yake ya facebook.. Kiongozi kama mbunge,ni kioo cha chama..naomba kuwasilisha
kwani hao waliojaa serikalini na kupata Div I wamefanya nini mpaka sasa kama sio kujikita katika ufisadi?Matatizo ya wabunge waliopata FOUR form FOUR.
Matatizo ya wabunge waliopata FOUR form FOUR.
Tatizo siyo division bali ni mwingiliano wa maslahi na kila mmoja kujiona ni mbabe.Matatizo ya wabunge waliopata FOUR form FOUR.