Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,173
- 27,223
Katika pitapita zangu mitandaoni nikoana post ya aliyekuwa mbunge wa mbeya mjini "SUGU" akisema ni lazima awe mbunge 2025.
Hii imenishangaza kwa kuwa hadi sasa msimamo wa mwenyekiti pamoja na chama ni kuwa 2025 hawatashiriki uchaguzi bila tume huru wala katiba mpya.
Sasa nashindwa kuelewa maamuzi haya ya sugu anamaanisha tayari tuna katiba mpya na tume huru?
Kwa nini asingeanza kudai hiyo katiba mpya ndio aje na ndoto za ubunge 2025? Au anataka kuhama chama?
Ila pia ni kwa nini anahisi ana haki sana ya kuwa mbunge? Asipokuwa mbunge kwani shida ni nini?
Nilitegemea wananchi wa Mbeya ndio waseme na sio yeye kusema eti nilazima nitakuwa mbunge.
Ni kweli nyie mlioonja utamu wa ubunge hamuwezi kufanya jambo lingine lolote zaidi ya kuwa wabunge? Hii tabia ipo hadi CCM , Kuna watu wanaamini wao wamezaliwa kuwa wabunge, hawawezi kufanya jambo lingine lolote zaidi ya kuwa wabunge.
Sugu mbona ulituonyesha kuna biashara zako unafanya na ukasema zinaenda vizuri tu? Sasa tena hii hamu ya kusema lazima uwe mbunge 2025 inatoka wapi tena? Pia umeagana na Mungu kuwa utafika hiyo 2025?
Pesa za ubunge ni tamu sana eeh? Si ajabu uliwasaliti wenzio kwenye movement ya ant-virus, ukavuta mpunga ukawaacha hawana njia.
Kwa kauli yako ya leo nitakupinga hapa na hata hiyo 2025.
Hii imenishangaza kwa kuwa hadi sasa msimamo wa mwenyekiti pamoja na chama ni kuwa 2025 hawatashiriki uchaguzi bila tume huru wala katiba mpya.
Sasa nashindwa kuelewa maamuzi haya ya sugu anamaanisha tayari tuna katiba mpya na tume huru?
Kwa nini asingeanza kudai hiyo katiba mpya ndio aje na ndoto za ubunge 2025? Au anataka kuhama chama?
Ila pia ni kwa nini anahisi ana haki sana ya kuwa mbunge? Asipokuwa mbunge kwani shida ni nini?
Nilitegemea wananchi wa Mbeya ndio waseme na sio yeye kusema eti nilazima nitakuwa mbunge.
Ni kweli nyie mlioonja utamu wa ubunge hamuwezi kufanya jambo lingine lolote zaidi ya kuwa wabunge? Hii tabia ipo hadi CCM , Kuna watu wanaamini wao wamezaliwa kuwa wabunge, hawawezi kufanya jambo lingine lolote zaidi ya kuwa wabunge.
Sugu mbona ulituonyesha kuna biashara zako unafanya na ukasema zinaenda vizuri tu? Sasa tena hii hamu ya kusema lazima uwe mbunge 2025 inatoka wapi tena? Pia umeagana na Mungu kuwa utafika hiyo 2025?
Pesa za ubunge ni tamu sana eeh? Si ajabu uliwasaliti wenzio kwenye movement ya ant-virus, ukavuta mpunga ukawaacha hawana njia.
Kwa kauli yako ya leo nitakupinga hapa na hata hiyo 2025.