Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,035
- 6,907
Hiyo Mwenyekiti anasepa 2023 sasa unadhani atakuwa bado na maamuzi gani?
Kila mtu ashinde mechi zakeUmeandika kwa hisia Kali mkuu ukweli ni kwamba Kuna ujinga watanzania tunao
Lkn ilifaa aisitoe kauli kama hizo zinazoashiria kujimilikisha Jimbo. Aache mkondo wa demokrasia uchukue nafasi yake. I love chadema.SUGU anauhakika wa mapenzi ya wana MBEYA kwake ndio maana ana imani ya uhakika kuwa ikiwepo tume huru ya uchaguzi' 2025 atshinda ubunge.
Ni lazima awe mbunge?"SUGU" anamaana tume ya uchaguzi itakapokua huru, 2025 lazima atakua Mbunge
Wacha weeee, wewe huyo!!!!Wajinga ni washabiki wao, Mimi simo
Amezaliwa kuwa mbunge?SUGU anauhakika wa mapenzi ya wana MBEYA kwake ndio maana ana imani ya uhakika kuwa ikiwepo tume huru ya uchaguzi' 2025 atshinda ubunge.
Mimi sina ushabiki kwa wanasiasaWacha weeee, wewe huyo!!!!
Sema hauna ushabiki na mwanasiasa wa CDMMimi sina ushabiki kwa wanasiasa
Ni suali halijawahi kuulizwa na halitaulizwa mileleAmezaliwa kuwa mbunge?
Katika pitapita zangu mitandaoni nikoana post ya aliyekuwa mbunge wa mbeya mjini "SUGU" akisema ni lazima awe mbunge 2025.
Hii imenishangaza kwa kuwa hadi sasa msimamo wa mwenyekiti pamoja na chama ni kuwa 2025 hawatashiriki uchaguzi bila tume huru wala katiba mpya.
Sasa nashindwa kuelewa maamuzi haya ya sugu anamaanisha tayari tuna katiba mpya na tume huru?
Kwa nini asingeanza kudai hiyo katiba mpya ndio aje na ndoto za ubunge 2025? Au anataka kuhama chama?
Ila pia ni kwa nini anahisi ana haki sana ya kuwa mbunge? Asipokuwa mbunge kwani shida ni nini?
Nilitegemea wananchi wa mbeya ndio waseme na sio yeye kusema eti nilazima nitakuwa mbunge.
Ni kweli nyie mlioonja utamu wa ubunge hamuwezi kufanya jambo lingine lolote zaidi ya kuwa wabunge? Hii tabia ipo hadi CCM , Kuna watu wanaamini wao wamezaliwa kuwa wabunge, hawawezi kufanya jambo lingine lolote zaidi ya kuwa wabunge.
Sugu mbona ulituonyesha kuna biashara zako unafanya na ukasema zinaenda vizuri tu? Sasa tena hii hamu ya kusema lazima uwe mbunge 2025 inatoka wapi tena? Pia umeagana na Mungu kuwa utafika hiyo 2025?
Pesa za ubunge ni tamu sana eeh? Si ajabu uliwasaliti wenzio kwenye movement ya ant-virus, ukavuta mpunga ukawaacha hawana njia.
Kwa kauli yako ya leo nitakupinga hapa na hata hiyo 2025.
View attachment 1822947
Mkuu unacheza na mijihela wanayoipata tena bila kulipa kodi wala mifuko ya hifadhi ya jamiiKatika pitapita zangu mitandaoni nikoana post ya aliyekuwa mbunge wa mbeya mjini "SUGU" akisema ni lazima awe mbunge 2025.
Hii imenishangaza kwa kuwa hadi sasa msimamo wa mwenyekiti pamoja na chama ni kuwa 2025 hawatashiriki uchaguzi bila tume huru wala katiba mpya.
Sasa nashindwa kuelewa maamuzi haya ya sugu anamaanisha tayari tuna katiba mpya na tume huru?
Kwa nini asingeanza kudai hiyo katiba mpya ndio aje na ndoto za ubunge 2025? Au anataka kuhama chama?
Ila pia ni kwa nini anahisi ana haki sana ya kuwa mbunge? Asipokuwa mbunge kwani shida ni nini?
Nilitegemea wananchi wa mbeya ndio waseme na sio yeye kusema eti nilazima nitakuwa mbunge.
Ni kweli nyie mlioonja utamu wa ubunge hamuwezi kufanya jambo lingine lolote zaidi ya kuwa wabunge? Hii tabia ipo hadi CCM , Kuna watu wanaamini wao wamezaliwa kuwa wabunge, hawawezi kufanya jambo lingine lolote zaidi ya kuwa wabunge.
Sugu mbona ulituonyesha kuna biashara zako unafanya na ukasema zinaenda vizuri tu? Sasa tena hii hamu ya kusema lazima uwe mbunge 2025 inatoka wapi tena? Pia umeagana na Mungu kuwa utafika hiyo 2025?
Pesa za ubunge ni tamu sana eeh? Si ajabu uliwasaliti wenzio kwenye movement ya ant-virus, ukavuta mpunga ukawaacha hawana njia.
Kwa kauli yako ya leo nitakupinga hapa na hata hiyo 2025.
View attachment 1822947
Bungeni ni pesa bure. Sugu ana miaka 10 bungeni lakini hajatosheka tu.Ndio tuna cha kujifunza kutoka kwa wanasiasa....
Wakati wao wako busy na matumbo yao sisi tupo busy kuwapigia makofi, kushangilia U-CCM na U-Chadema na sio U-Taifa kwanza
Miaka yote bungeni, mpunga alovuta, bila shaka ana vyanzo vingine vya kipato (hotel D) ila bado ana ndoto za kuajiriwa.
Huku huko bungeni tunaambiwa vijana wajiajiri..ila wao hawajiajiri na mitaji wanayo tayari.
#Hii nchi imechezewa sana.
Kweli bungeni kutamu ndio maana watu wapo tayari hata kuuwa ilimradi wasitoke bungeni.Bungeni ni pesa bure. Sugu ana miaka 10 bungeni lakini hajatosheka tu.
Mmefanywa daraja la wanasiasaLazima uwe na uelewa mpana kulielewa hilo
si huyu mwenyekiti kashasema anastaafu 2023, halafu anawashauri wasishiriki uchaguzi 2025...
Yeye ni kada mtiifu wa Mwenyekiti hata kama wanachama watapitisha mtu mwingine kwenye kura ya maoni, yeye atapitishwa tu na Mwenyekiti.Eti..??
Vipi kama wanachadema wa Mbeya Mjini watapendekeza mtu mwingine kuwa mgombea? Anajuaje kuwa atapendekezwa yeye?
Mwenyekiti wa Chadema Mhe Freeman Mbowe anatakiwa kuwa na "break"! Huwezi kusema mwaka 2025 Chadema haitashiriki uchaguzi. Huu ni ufunyi wa uelewa katika masuala ya kisiasa. Siasa uweza kubadilika hata kwa siku moja! Leo na 2025 ni muda mrefu sana kwa masuala ya kisiasa. Mambo mengi sana yanaweza kubadilika hapa katikati. Mhe. Mbowe na chama chake wanatakiwa kuwa watulivu na kuangalia kwa makini upepo wa kisiasa kwa sasa.Katika pitapita zangu mitandaoni nikoana post ya aliyekuwa mbunge wa mbeya mjini "SUGU" akisema ni lazima awe mbunge 2025.
Hii imenishangaza kwa kuwa hadi sasa msimamo wa mwenyekiti pamoja na chama ni kuwa 2025 hawatashiriki uchaguzi bila tume huru wala katiba mpya.
Sasa nashindwa kuelewa maamuzi haya ya sugu anamaanisha tayari tuna katiba mpya na tume huru?
Kwa nini asingeanza kudai hiyo katiba mpya ndio aje na ndoto za ubunge 2025? Au anataka kuhama chama?
Ila pia ni kwa nini anahisi ana haki sana ya kuwa mbunge? Asipokuwa mbunge kwani shida ni nini?
Nilitegemea wananchi wa Mbeya ndio waseme na sio yeye kusema eti nilazima nitakuwa mbunge.
Ni kweli nyie mlioonja utamu wa ubunge hamuwezi kufanya jambo lingine lolote zaidi ya kuwa wabunge? Hii tabia ipo hadi CCM , Kuna watu wanaamini wao wamezaliwa kuwa wabunge, hawawezi kufanya jambo lingine lolote zaidi ya kuwa wabunge.
Sugu mbona ulituonyesha kuna biashara zako unafanya na ukasema zinaenda vizuri tu? Sasa tena hii hamu ya kusema lazima uwe mbunge 2025 inatoka wapi tena? Pia umeagana na Mungu kuwa utafika hiyo 2025?
Pesa za ubunge ni tamu sana eeh? Si ajabu uliwasaliti wenzio kwenye movement ya ant-virus, ukavuta mpunga ukawaacha hawana njia.
Kwa kauli yako ya leo nitakupinga hapa na hata hiyo 2025.