Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 13,480
- 19,858
Ndio tuna cha kujifunza kutoka kwa wanasiasa....
Wakati wao wako busy na matumbo yao sisi tupo busy kuwapigia makofi, kushangilia U-CCM na U-Chadema na sio U-Taifa kwanza
Miaka yote bungeni, mpunga alovuta, bila shaka ana vyanzo vingine vya kipato (hotel D) ila bado ana ndoto za kuajiriwa.
Huku huko bungeni tunaambiwa vijana wajiajiri..ila wao hawajiajiri na mitaji wanayo tayari.
#Hii nchi imechezewa sana.
Umeandika kwa uchungu mno mkuu