Nyamtalakyono
JF-Expert Member
- Dec 17, 2015
- 795
- 479
Kuna dalili za kutosha zinajionesha hivi punde Mbunge wa Mbeya mjini Mh. Sugu atahamia CCM. Hili ninalizongumza ni kutokana na Mbunge huyo kuonesha anafurahishwa sana na utendaji wa Serikali ya CCM inayoongozwa na Rais Mzalendo John Pombe Magufuli. Nakupongeza Mh Sugu na nakushauri njoo CCM kumenoga.