Mathias Byabato
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,020
- 691
Hili tatizo limetoa kwa wabunge wengi wapya kwa baadhi ya majimbo.Lakini tujiulize hivi hizi thamani kwa wabunge hununuliwa na nani?,wabunge wa mwazo walizikuta? au walinunua wenyewe?Kama walinunua wenyewe lazima na wapya wanunue za kwako huo ndiyo ukweli !Utaratibu wa kununua thamani unawekwa na nani