Ambiente Guru
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 2,596
- 1,071
Jeshi la Serikali linajiandaa kwa mashambulizi makubwa dhidi ya ngome ya waasi iliyoko Bor.
Tayari vita hii imezalisha maelfu ya wakimbizi wa ndani.
Sudani kusini, Mali na Afrika ya Kati ni viashirio vya ukweli kuwa Africa itaendelea kuogelea kwenye dimbwi la matope na maji taka ya mfumo mbovu wa siasa, na ukosefu wa amani. Viongozi wa afrika wanaendeleza ubinafsi na uchu wa madaraka wakiweka maisha ya raia hatarini.