King Zenji
Senior Member
- Feb 18, 2008
- 178
- 18
you have no idea how -left behind- we are..,yani sometimes nchi pekee tulizoziacha ni zile hazifiki 20 to be honest!!
tuna kazi ngumu..,too bad viongozi wetu ndio hao tena...,nchi nyingine they are really poor but when you look at steps taken by their leaders you can see how well of they can be in 10 years!!
but i'm sad to feel just worse in terms of my country..,yani hata super-market ikizinduliwan prezident na cabinet yoote itakuwepo..,thats just how short minded we are...(our leaders)!!
can they think of a better TZ in 10 to 20 years later???the best they can think about future is 5 years guess what!!election time!!
,,,Yaani ni KWELI kabisa,lakini sasa tufanyeje jamani na ZIMWI hili CCM????Manake hili lijamaa nalo ndio limekamata NJI hii,waalaah kila kitu lenyewe tu,na hata sijui kama wenyewe hawa WAKUBWa huwa wana wivu wanapowaona wenzao wanavyoendeleza NCHI zao,juzi juzi MH.JK si alienda KHARTOUM kwa mwaliko,nadhani aliona kukoje,,Lakin wala roho haziwastuki,Ngoja nikuambie,,,Kama BABA wa MAPINDUZI ya ZANZIBAR Sheikh ABEID A. KARUME angaekuwepo,basi leo ZANZIBAR ingekuwa ULAYA,manake ma barabara yoote aliojenga enzi hizo ndio zinazotumika leo hii zenji,SMZ ya leo imebaki kupiga viraka tu,na wakati ule jamaa alimwaga mi double road karibu mji wote wa ZNZ,,cheki walipokuja jamaa hawa,,,aah,Nafikiri hawa viongozi wetu hawajali saana maendeleo ya NCHI,wao wanajijali wao na familia zao tu,na ndio maana kila baada ya uchaguzi wao wanawaza uchaguzi UJAO na sio maendeleo,,,,,,,SUDAN hiyoo,RWANDA hiyooo,KENYA waleeee,,,UGANDA nao daah hawa hapa kwa KASI kuubwa,sijui tufanye nini.