Hute
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,537
- 6,458
braza, usipoteze muda kushindana na sisi. huko sudan hao tunaowapeleka asilimia kubwa ni askari polisi hawa wa kawaida, sio wanajeshi. wanajeshi ni wale tuliopeleka congo. upo hapo. hata hivyo, askari polisi wa tz ni sawa na askari jeshi wa kenya, hivyo hatutakiwi kujibizana ktk hili, liko wazi.Wakati tunaondoa jeshi letu la KDF huko, Wabongo walijazana humu JF wakikejeli na kusema waende wao, kwamba JWTZ ndio watawapa kichapo Wasudan. Ulimbukeni wa hali ya juu, walisahau hili tukio la wanajeshi wao saba kuuawa huko Darfur.
Mkanganyiko wa pale Sudan Kusini na Kaskazini sio jambo la kukurupukia ovyo, kuna mambo mengi yanaingiliana.