KkkkkkkkkTutawauzia korosho na mahindi wasiwe na wasiwasi
Kwa nini wasimuombe mwenyekiti wa EAC badala yake Tanzania?Serikali ya Sudan Kusini imeiomba Tanzania kufanikisha makubaliano ya amani yaliyotiwa saini kati ya pande zinazohasimiana hasa wakati huu ambapo taifa hilo likijipambanua upya kwa kusaka fursa za kiuchumi katika eneo la Afrika mashariki.
Chanzo: DW
Kwa nini wasimuombe mwenyekiti wa EAC badala yake Tanzania?
Wanajua Tanzania ndo baba wa DemokrasiaKwa nini wasimuombe mwenyekiti wa EAC badala yake Tanzania?
Kama ni sahihi unachokisema basi ipewe uenyekiti wa kudumuWanajua Tanzania ndo baba wa Demokrasia