Sudan Kusini yamkaribisha Mwakilishi Mkuu wa AU, Jakaya Kikwete kabla ya uchaguzi wa kihistoria wa 2026

Sudan Kusini yamkaribisha Mwakilishi Mkuu wa AU, Jakaya Kikwete kabla ya uchaguzi wa kihistoria wa 2026

Hawajui tu kama huyo ni kinara wa Wahuni Tanzania?

Kwetu Tanzaniahakuna juhudi za kujua wahalifu walio katiza maisha ya maelfu ya vijana kabla, wakati na baada ya Oktoba 29 2025.

Masuala ya katiba mpya, maridhiano na uhuru wa kufanya siasa nchini Tanzania umekatizwa kwa matamko haramu ya Samia na Patrobas Katambi wakikanyaga na kusigina katiba inayotoa haki ya mambo hayo muhimu ya wananchi kuchagua viongozi wanaoona wanafaa, vyombo vya habari kupigwa kufuli n.k
 

Sudan Kusini Yamkaribisha Mwakilishi Mkuu wa AU Jakaya Kikwete kusaidia kuweka mambo sawa Kabla ya Uchaguzi wa Kihistoria wa 2026​

June 2026
Juba South Sudan
kikwete.jpg

Rais wa zamani wa Tanzania na mjumbe wa AU Jakaya Kikwete anaanza mashauriano ya ngazi ya juu mjini Juba huku Sudan Kusini ikiendelea na maandalizi ya uchaguzi mkuu wa 2026.
Na Deng Machol

JUBA, Sudan Kusini — Huku Sudan Kusini ikizidisha juhudi za kuimarisha amani na kujiandaa kwa uchaguzi mkuu wa kwanza kabisa, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Mwakilishi Mkuu wa Umoja wa Afrika kwa Pembe ya Afrika na Bahari Nyekundu, aliwasili Juba Jumatano kwa ziara rasmi ya kikazi iliyojikita katika ujenzi wa amani na ushirikiano wa kikanda.

Kikwete, Rais wa zamani wa Tanzania na mmoja wa viongozi wa nchi zinazoheshimika zaidi barani Afrika, alipokelewa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Juba na Mhe. Balozi Akuei Bona Malwal, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Sudan Kusini.

Kulingana na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa ya Sudan Kusini, ziara hiyo inasisitiza ushirikiano wa kudumu kati ya Umoja wa Afrika na Serikali ya Sudan Kusini huku nchi hiyo ikijitahidi kuimarisha amani, utulivu, na ujumuishaji wa kikanda kabla ya uchaguzi mkuu wa Desemba 2026.

Ziara hii inakuja wakati muhimu kwa Sudan Kusini, huku utekelezaji wa Mkataba Uliofufuliwa wa Utatuzi wa Mgogoro katika Jamhuri ya Sudan Kusini (R-ARCSS) ukibaki kuwa kitovu cha mpito wa kisiasa wa nchi hiyo na matarajio ya kidemokrasia.

Wakati wa kukaa kwake Juba, Kikwete anatarajiwa kufanya mashauriano na maafisa wakuu wa serikali, viongozi wa kisiasa, na wadau muhimu wanaohusika katika mchakato wa amani. Majadiliano yanaweza kuzingatia kuendeleza utekelezaji wa makubaliano ya amani, kukuza mshikamano wa kitaifa, na kuimarisha ushirikiano kati ya Sudan Kusini na taasisi za kikanda.

Umoja wa Afrika umebaki kuwa mshirika muhimu katika safari ya amani ya Sudan Kusini, ukifanya kazi pamoja na mashirika ya kikanda na washirika wa kimataifa ili kuunga mkono juhudi zinazolenga kufikia utulivu wa kudumu na kukuza hali zinazofaa kwa utawala wa kidemokrasia.

Ziara ya Kikwete inaonekana sana kama uthibitisho wa dhamira ya AU ya kuisindikiza Sudan Kusini katika njia yake kuelekea amani endelevu, utulivu wa kisiasa, na ushirikiano imara wa kikanda huku taifa likikaribia hatua ya kihistoria ya uchaguzi

View: https://m.youtube.com/watch?v=O0YcRrKoTQY

Kila la kheri Dr Jakaya Mrisho Kikwete,

unafanya kazi nzuri sana Baba 🔥
 
Utekwaji wa balozi Humphrey Polepole na kupotezwa mazima umeacha mafunzo kadhaa kwa nchi yetu.
1. Adui wa maendeleo ya Tanzania siyo mabeberu mbali ni watanzania wenzetu waliojificha kwenye tawi la chama cha mapinduzi linaloitwa ccm mtandao. Ccm hawana nia ya dhati ya kutatua matatizo ya watanzania ila wana nia ya dhati ya kutumia matatizo ya watanzania kujinufaisha wao wenyewe na familia kupitia kutengeneza fedha nyingi sana, kuhujumiwa kwa bwawa la mwl nyerere, makaa ya mawe, gesi na Sgr ni mfano wa nia yao hiyo.
2. Jakaya Kikwete na Rostam Aziz ni tatizo kubwa kwenye nchi hii na Rais yoyote ajaye hawezi kuongoza nchi kwa raha ikiwa Hawa mabwana bado wapo duniani.
3.Balozi Humphrey Polepole ameifanyia kazi kubwa ccm lakini alipotekwa na kuacha damu nyingi sana waliopaza sauti ya kumlilia siyo ccm ni Chadema. Kwa hiyo hata hao wanaoitukana Chadema leo huenda ndiyo ikawa mtetezi wao siku zijazo.
4.Kiongozi aliyekulia kwenye mazingira ya kupewa misaada hata akija kuwa Rais akili yake itabaki kwenye kuomba msaada tu.
Atagawa rasilimali zote alafu ataenda kuomba msaada kwa aliowagawia rasilimali zake.
5. Kutunga sheria tu haitoshi kwani Rais Magufuli alitunga sheria ya ulinzi wa rasilimali za taifa, kwamba ili ubinafisishe rasilimali yoyote ya taifa ni lazima huo mkataba ukajadiliwe kwa uwazi bungeni lakini serikali ya awamu ya sita imesaini mikataba zaidi ya 60 inayohusu rasilimali za taifa bila kuipeleka bungeni.
6. Siyo rahisi kumfanyia Rais wa nchi jambo baya bila yeye kupata taarifa kwanza, Rais Magufuli alikuwa anajua njama zinazopangwa na wanaozipanga kumuuwa lakini alipuuzia, alionyeshwa hadi barua zenye code tupu zikiwa zinatoka kwa kiongozi mkubwa msitaafu wa ccm mtandao. Kama Rais Magufuli angeamua kuzifanyia kazi hizo barua angewafikia na kuwaangamiza kabla hawajamwangamiza.
7. Kwenye kujilinda usimwamini mtu yoyote kwani waliomsaliti na kuchora ramani ya alipojificha Humphrey Polepole ni watu wake wa karibu sana kwa miaka mingi.
8. Wanaccm wote wanaomba ya October 29 yasijirudie tena kwani yakijirudia tena kwenye uchaguzi wa 2030 itakuwa balaa, wananchi watalipiza kisasi kwa kiwango ambacho hakijapata kutokea.
9.Waliojigamba kuifungua nchi sasa wameifunga kuliko kipindi chochote cha historia ya nchi hii. Tanzania inasemwa na kusimangwa kutoka sehemu zote duniani.
Kwa mara ya kwanza Rais wa Tanzania hawezi kusafiri kwenda nchi za Ulaya kwa sababu ya udikteta wake,utekaji na mauwaji .
10. CCM ili waondoke madarakani ni wananchi kurudia tena kwa nguvu zaidi walichokifanya October 29/2025. Viongozi wa ccm kuanzia ngazi ya kijiji mpaka taifa lazima wajihisi hawako salama kuanzia wao wenyewe, familia zao na biashara zao. Nchi nzima lazima iamke kuchoma moto mali zao hapo sasa ndio watakubali uchaguzi huru na wa haki.
 
Hate him or Love him
JK anapeta tu na hazeeki
Rais mstaafu Kikwete hayupo madarakani. CDF, IGP na DGIS hawapo chini yake.
Afanye nini zaidi ya kushauri kimya kimya?
Wenye ofisi wawajibike kwa matendo yao.
Lawama au ushauri vielekezwe panapohusika kwa ufanisi zaidi.
 
Uzalendo wa Jakaya Kikwete haupo Tanzania upo kwa nchi zingine
Dr Jakaya Mrisho Kikwete, Rais mstaafu wa TANZANIA, amelitumikia taifa katika katika utoto wake, ujana na uzee wake kizalendo na kwa mafanikio makubwa sana ya kishujaa, na kwahivyo hana deni tena na Tanzania.

Ni muhimu sana akasambaza upendo, uzoefu, weledi na umahiri wake kote ulimwenguni.

God bless Dr Jakaya Mrisho Kikwete 🔥
 

Sudan Kusini Yamkaribisha Mwakilishi Mkuu wa AU Jakaya Kikwete kusaidia kuweka mambo sawa Kabla ya Uchaguzi wa Kihistoria wa 2026​

June 2026
Juba South Sudan
kikwete.jpg

Rais wa zamani wa Tanzania na mjumbe wa AU Jakaya Kikwete anaanza mashauriano ya ngazi ya juu mjini Juba huku Sudan Kusini ikiendelea na maandalizi ya uchaguzi mkuu wa 2026.
Na Deng Machol

JUBA, Sudan Kusini — Huku Sudan Kusini ikizidisha juhudi za kuimarisha amani na kujiandaa kwa uchaguzi mkuu wa kwanza kabisa, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Mwakilishi Mkuu wa Umoja wa Afrika kwa Pembe ya Afrika na Bahari Nyekundu, aliwasili Juba Jumatano kwa ziara rasmi ya kikazi iliyojikita katika ujenzi wa amani na ushirikiano wa kikanda.

Kikwete, Rais wa zamani wa Tanzania na mmoja wa viongozi wa nchi zinazoheshimika zaidi barani Afrika, alipokelewa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Juba na Mhe. Balozi Akuei Bona Malwal, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Sudan Kusini.

Kulingana na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa ya Sudan Kusini, ziara hiyo inasisitiza ushirikiano wa kudumu kati ya Umoja wa Afrika na Serikali ya Sudan Kusini huku nchi hiyo ikijitahidi kuimarisha amani, utulivu, na ujumuishaji wa kikanda kabla ya uchaguzi mkuu wa Desemba 2026.

Ziara hii inakuja wakati muhimu kwa Sudan Kusini, huku utekelezaji wa Mkataba Uliofufuliwa wa Utatuzi wa Mgogoro katika Jamhuri ya Sudan Kusini (R-ARCSS) ukibaki kuwa kitovu cha mpito wa kisiasa wa nchi hiyo na matarajio ya kidemokrasia.

Wakati wa kukaa kwake Juba, Kikwete anatarajiwa kufanya mashauriano na maafisa wakuu wa serikali, viongozi wa kisiasa, na wadau muhimu wanaohusika katika mchakato wa amani. Majadiliano yanaweza kuzingatia kuendeleza utekelezaji wa makubaliano ya amani, kukuza mshikamano wa kitaifa, na kuimarisha ushirikiano kati ya Sudan Kusini na taasisi za kikanda.

Umoja wa Afrika umebaki kuwa mshirika muhimu katika safari ya amani ya Sudan Kusini, ukifanya kazi pamoja na mashirika ya kikanda na washirika wa kimataifa ili kuunga mkono juhudi zinazolenga kufikia utulivu wa kudumu na kukuza hali zinazofaa kwa utawala wa kidemokrasia.

Ziara ya Kikwete inaonekana sana kama uthibitisho wa dhamira ya AU ya kuisindikiza Sudan Kusini katika njia yake kuelekea amani endelevu, utulivu wa kisiasa, na ushirikiano imara wa kikanda huku taifa likikaribia hatua ya kihistoria ya uchaguzi

View: https://m.youtube.com/watch?v=O0YcRrKoTQY

Charity start at home.Mbona ya nyumbani kwake hataki ku deal nayo ? Ameshindwa hata ku- condemn in public Yale yaliyotokea October 29
 
What a sonofabitch! Mazafaka anashiriki kupasua nyumba anayoishi, lakini anakwenda kushiriki kuziba nyufa kwenye nyumba ya jirani.
Nilijua ,mifala ya lissu lazima ije kwa hasira hapa. Huyo ndo jk, wangesewangese kama nyie huwa anawapotezea tu ndo maana hachukui hata muda wake kuwajibu. Mamamae, jk atawaunguzisha mayai yenu ya uzazi kwa hasira.
 
Charity start at home.Mbona ya nyumbani kwake hataki ku deal nayo ? Ameshindwa hata ku- condemn in public Yale yaliyotokea October 29
Hayo si mnafanya nyie mnaojua, au?!!! Mnataka aseme lolote Ili mtafairi mnavyotaka nyie?!!! Jk is too far smart kulinganisha na nyumbu nyote nyie, hawezi kuingia kwenye mitego yenu ya kilofa.
 
Nilijua ,mifala ya lissu lazima ije kwa hasira hapa. Huyo ndo jk, wangesewangese kama nyie huwa anawapotezea tu ndo maana hachukui hata muda wake kuwajibu. Mamamae, jk atawaunguzisha mayai yenu ya uzazi kwa hasira.
Wewe ng’ombe, hatutarajii uwe smarter kuliko wafugaji wako!
 
TOKA MAKTABA

JUHUDI ZA KIKWETE NA MUSEVENI KULETA HALI YA MARIDHIANO SUDAN YA KUSINI

Kuleta pande zinazo hasimiana kisiasa katika meza ya mazungumzo

BREAKING: Museveni Backs New South Sudan Peace Talks | Kiir Meets AU Envoy Kikwete


View: https://m.youtube.com/watch?v=6nGLN7UOlKs

Waasisi wa migogoro Kwenye nchi zao ndio wanaenda kuleta amani nchi jiran, africa mavi kabisa
 
19 July 2026
Juba, South Sudan

Hon. Aldo Ajou on SPLM chaos, leadership and the way forward for South Sudan


View: https://m.youtube.com/watch?v=R_1ydFJfAJA
In this episode, I am talking with Honorable Dr. Aldo Ajou Deng-Akuey. He's currently a member of the Council of States South Sudan We discuss solution models, the way forward and JCE.
KIKWETE ACHAGIZA RAIS KIIR WA SOUTH SUDAN AMALIZE MKWAMO WA KISIASA

Kikwete akiwa Juba South Sudan : Je, Masharti Ya Reforms Yako Tayari kwa Uchaguzi wa Sudan Kusini 2026 ?
View attachment 3631896
Ziara ya Rais wa zamani wa Tanzania Jakaya Kikwete huko Juba ili kutathmini maandalizi ya uchaguzi inaibua maswali muhimu kuhusu utayari wa Sudan Kusini kwa mchakato wa uchaguzi unaoaminika.

Kipindi hiki kinachunguza hali ya taasisi, utekelezaji wa makubaliano ya amani, hali ya usalama, na kama nchi ina mazingira muhimu kwa uchaguzi huru na wa haki.


19 July 2026
Juba, South Sudan

Hon. Aldo Ajou on SPLM chaos, leadership and the way forward for South Sudan

Mhe. Aldo Ajou aweka wazi kuhusu mgogoro wa ndani ya SPLM, uongozi na njia ya utatuzi ili Sudan Kusini ijikwamue kutoka ndani ya sintofahamu

View: https://m.youtube.com/watch?v=R_1ydFJfAJA
In this episode, I am talking with Honorable Dr. Aldo Ajou Deng-Akuey. He's currently a member of the Council of States South Sudan We discuss solution models, the way forward and JCE.

More on Dr. Deng Akuey

Who is Dr. Aldo Ajou Deng-Akuey?

My Story​

I was born into a time of great uncertainty, when our people were still navigating the harsh realities of marginalisation, under-representation, and the quest for self-determination. That early experience of inequality and unrest shaped my lifelong commitment: to work tirelessly for peace, justice, and a truly inclusive South Sudan.

Over the past five decades, I’ve served in both the Sudanese and South Sudanese governments — from the parliament floor in Khartoum in 1967, to the Council of States in Juba today. Along the way, I have witnessed our people’s suffering and resilience, our struggles and triumphs. I have been privileged to contribute to policy, peace talks, and national debates, all while advocating for federalism, the rule of law, and a governance system that leaves no one behind.

Today, I continue that mission not just in Parliament, but as a public thinker, author, and voice for constitutional reform. My platform is dedicated to sharing research, historical insights, and practical proposals that support a peaceful and democratic transition for the Republic of South Sudan. I believe that through dialogue, accountability, and visionary leadership, we can build a nation where freedom, equality, and justice are not just ideals, but realities.
Dr. Deng Akuey
dr-akuey.jpg

His Mission & Vision​

Mission:​

Dr. Aldo’s mission is simple: to help shape a South Sudan that is united in its diversity, governed by law, guided by its constitution, and anchored in peace. The journey has been long — but the work is far from over.

Vision:​

Dr. Aldo’s vision is of a peaceful, united South Sudan where every person has the chance to live with dignity, freedom, and hope for a better tomorrow
 
05 May 2026
Juba, South Sudan

🔥WHY THE AFRICAN UNION SENT H.E JAKAYA KIKWETE TO SOUTH SUDAN AMIDST POLITICAL CRISIS


View: https://m.youtube.com/watch?v=RDtWwZ9iivM

By Nyandeng .A. Garang
This video from the Jimosi Podcast discusses the visit of H.E. Jakaya Mrisho Kikwete, the former President of Tanzania and the newly appointed African Union (A.U) High Representative for the Horn of Africa and the Red Sea, to South Sudan (1:54 - 2:06).

Key Discussion Points:

1. Purpose of the Visit:
Kikwete is visiting Juba to engage with President Salva Kiir Mayardit and various stakeholders to support efforts regarding the political crisis and the upcoming elections in South Sudan (2:08 - 2:37).

2. Regional Context:
The hosts analyze Kikwete's recent diplomatic meetings, including discussions with President Cyril Ramaphosa of South Africa—the chair of the AU C5 committee on South Sudan—and President Yoweri Kaguta Museveni of Uganda (2:47 - 3:55).

3. Uganda’s Involvement:
The hosts discuss a social media post by President Museveni emphasizing stability in the Equatoria region (0:04 - 0:30). They speculate that Uganda's interest is tied to the significant presence of Ugandan business people in these bordering regions and the desire to prevent displacement that could strain Ugandan resources (0:47 - 1:13; 5:36 - 6:23).

4. Skepticism Toward Peace Efforts: Both hosts express significant skepticism regarding whether these high-level diplomatic visits will lead to meaningful change in South Sudan, arguing that the political will for peace must come from within the country's own leadership (14:19 - 15:10; 16:16 - 16:26).

5. Political Skepticism:
The conversation touches on broader regional political concerns, including elections in Tanzania and the general fatigue citizens feel toward long-serving leaders in Africa (16:32 - 17:25; 29:57 - 30:25).

6. Aging Leadership: The podcast concludes with a lighthearted but critical discussion on the age of various African leaders, the controversy surrounding their health, and the importance of healthy living and mobility aids for aging officials (30:25 - 35:58
 
Back
Top Bottom