antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 44,626
- 120,157
Kujinasua Toka kwenye makucha ya CCMJe nini tufanye ili kuwa ktk kundi la Citizens?
Kujinasua Toka kwenye makucha ya CCMJe nini tufanye ili kuwa ktk kundi la Citizens?
Na hilo watawala wanalijua ndio maana hawafurahii ziara chokonozi ya Lissu kwani itawachokonoa hao waseme au waulize Yale wanayoyajua.Sikuwahi fikiri kama kuna watu outside of TZ wana uelewa mkubwa wa mambo ya hapa nyumbani kuliko sisi!
Njia huru na halali za kuweka uongozi zina hujumiwa na vyombo vinavyo simamia sio huru, hivyo basi matumizi ya nguvu ni legal and inevitableJe nini tufanye ili kuwa ktk kundi la Citizens?
Wakati tunatawaliwa na mkoloni sisi tulikuwa ni "subjects" lakini tulipopata uhuru wetu tukawa "Citizens" . Kwenye siasa "subjects" ni watu waliomo kwenye nchi inayotawaliwa bila ya wao kuwa na nafasi ya kushiriki kwenye kufanya maamuzi wao wenyewe yenye manufaa kwa maisha yao na vizazi zijavyo.
Lakini "Citizens" wao ni washiriki wa kwenye kila hatua ya kuendesha nchi yao na wao ndiyo asili ya mamlaka yote. Kwa mfano wananchi wa Uingereza wangekuwa ni "Subjects" wa Tanzania, basi wasingekuwa na uhuru wa kupiga kura ya maoni kuamua kujiondoa Umoja wa Ulaya bila ya Tanzania kukubali. Lakini wao ni "Citizens" wa Uingereza hivyo wana haki ya kujiamulia mambo yao wapendavyo bila ya kuomba ruhusa kwa mtu yeyote yule.
Swali la Shaka lilikuwa linamaanisha kwamba kwa Tanzania waliomo wanaamuliwa mambo na viongozi wao bila ya kuwa na nguvu ya kupinga. Maana "Citizens" wanayo haki ya kuwakatalia wanaowaongoza lakini "Subjects" hawana sifa hiyo. Venezuela wanapambana kutoka kuwa "Subjects" wa Maduro na chama chake na kuwa "Citizens" wa Venezuela.
"Citizens" should ideally apply in free democratic republics, and "subjects" would be what you would expect in kingdoms like Saudi Arabia, Brunei, and obscure totalitarian regimes like North Korea, Tajikistan and matter of fact, Tanzania.
Sema hivi "maamuzi yanaamuliwa na tuliowakataa".Sisi ni subjects sababu tukipiga kura maamuzi yanaamuliwa na watawala. Ili tusiwe subjects tunatakiwa tudai tume huru ya uchaguzi kwa udi na uvumba.
Subjects. Kilangila.Naam mkuu turudi kwenye swali la Ssali je are we Subjects au Citizens? Kama hata wafanya maamuzi wanaogopa kuamua au kutenda haki hadi mtu mmoja aamue je sisi tu ktk kundi lipi?
Hahahahhaahahahaaaaaa,watu kwa kujiondoa ufahamu hatareeeee!wapinzani ni subjects na wasio wapinzani ni citizens