Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,384
- 5,509
Vijana wenzangu,,, kiukweli hawa mademu wa staili hii wananiboa saaaaaaaana, binafsi napendaga demu natongoza kisha mtongozo wote unaeleweka hapohapo, ila utawakuta hawa wengine mara subiri nijifikirie kwanza, kama umeelewa show nawe si unasema tu so mpaka mariiiiiiingo meeeeeengi aaaalaah..!!
Juzi nimekatokea kabinti huku site ameanza hizo za "Hebu nijifikirie" Kiukweli sipendagi kuchemsha viporo vya mtongozo, Ety wahuni nipeni mbinu mzuri hapa ya kukumbushia mtongozo ili mambo yaende sawa. Yaani sitaki niwe kama naanza mwanzo tena.
Nataka zile za ki-intelligence zaidi mpaka demu anakuja kustuka tushaingia kwenye point na hana njia ya kuchomoa kabisa.
Juzi nimekatokea kabinti huku site ameanza hizo za "Hebu nijifikirie" Kiukweli sipendagi kuchemsha viporo vya mtongozo, Ety wahuni nipeni mbinu mzuri hapa ya kukumbushia mtongozo ili mambo yaende sawa. Yaani sitaki niwe kama naanza mwanzo tena.
Nataka zile za ki-intelligence zaidi mpaka demu anakuja kustuka tushaingia kwenye point na hana njia ya kuchomoa kabisa.