Ulitaka aseme wao hawataki mambo ya maviwanda?Unadhan atasema nini?
Kama ina uwezo hakuna shida. Kwani we huwezi kuajiri mtaalam wa IT ofisini kwako wakati una shida na mtaalam kisa ni mtoto wa dada ako wakati uwezo anao?Kumbuka kampuni yake ya ujenzi imekula Bingo kujemga barabara ya UBUNGO to Kibaha njia 6
Achunguliwe kama sio kuchunguzwa. Tiyari kwisha kwapua hapa kwetu si unajua??unamanisha skendo ya Kamlesh Patni? sidhani kama ni huyu..
Mbona hauweki namba za simu? Teuzi zitakupitaMwenyekiti wa chama cha wenye viwanda ( CTI) Subash Patel amesema wao wanamuunga mkono mh Rais Magufuli katika jitihada zake za kutupeleka kwenye uchumi wa kati.
Subash amesema hayo mbele ya waziri mkuu na kwamba wenye viwanda watahakikisha adhma hiyo ya Rais Magufuli kama ilivyoainishwa kwenye Ilani ya CCM inatekelezwa na malengo kufikiwa.
Source ITV habari!
Mwisho uwe unaweka na namba za simu ili teuzi zikija uwemo.Majizi chadema wana hali mbaya mno
Hivi kumbe ndiyo huyu ?Huyu si ndo yule aliiliza Kenya miaka ile ya Moi?? Tumekwishaaaaaa
DIWAL imepita naye mazima
NdiyeHivi kumbe ndiyo huyu ?