William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Haya wakuu nimepata hii SMS muda mchache sana uliopita, vipi imekaaje?:-
1. Subash Patel amefanya Press Conf leo saa tano Dar es Salaam.
2. Hakukuwa na taarifa zilizoeleweka kwani kwanza ilielezwa kwamba ingefanyika White Sand, baadaye kempiski lakini kote huko haikufanyika, ikafanyikia ofisini kwake (sijui wapi).
3. Inasemekana amejitetea kuhusu Mchuchuma na kusema yeye ana mahusiano na Mengi kibiashara kwa kuwa amenunua viwanda vya Mengi na huwa anatangaza ITV na hivi karibuni amelipa mamilioni kwa ITV.
4. Hakutukana na kurusha makombora kama RA, nanadhani wamejifunza.