Taavid
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 7,858
- 67,293
Nakubaliana nawewe kabisa, nilipata lift kwenye Rav 4 kilitime zile siti za nyuma zinabana balaa kama mtu una miguu mirefu lazima ukae upandeupandeYani mabenchi kabisa kama ya shule ya kata. Btw Rav 4 kilitime kurudi nyuma haziko comfortable nisamehe bure kwakweli. Msema kweli ni mpenzi wa Mungu