Candela
JF-Expert Member
- Aug 12, 2021
- 593
- 1,545
Wajuvi wa mambo,
Nipeni udambu juu ya hizo gari 2, okoeni ndoa yangu maana shemeji yenu akizimikiwa gari njiani atadai talaka. akikwama topeni ndio kabisa. kwa ufupi wife hapendi vigari sampuri ya ist, impreza nk, anasema anataka gari ya juu juu.
Nimeangalia angalia mitandaoni kulingana na bajeti yangu nimeona hizo akipata mojawapo atanizalia mtoto mwingine.
Nawasilisha.
Nipeni udambu juu ya hizo gari 2, okoeni ndoa yangu maana shemeji yenu akizimikiwa gari njiani atadai talaka. akikwama topeni ndio kabisa. kwa ufupi wife hapendi vigari sampuri ya ist, impreza nk, anasema anataka gari ya juu juu.
Nimeangalia angalia mitandaoni kulingana na bajeti yangu nimeona hizo akipata mojawapo atanizalia mtoto mwingine.
Nawasilisha.