Je inawezekana anaeshitaki kuwakilisha wakili na yeye asiwepo mahakamani kwa muda wote mpaka kesi inamalizika hajaonekana mahakamani. ?
Kama inawezekana mshatakiwa anaweza kudai anemshitaki afike mahakamani ?
Invisible, itabidi ufanye hima forum ya mambo ya sheria na mahakama isimame hivi mapema. Swali la Mwiba hapo juu naona ni la nguvu... wataalam wamsaidie jamani..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.