Suali liko hivi.

Mwiba

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
7,608
1,743
Je inawezekana anaeshitaki kuwakilisha wakili na yeye asiwepo mahakamani kwa muda wote mpaka kesi inamalizika hajaonekana mahakamani. ?
Kama inawezekana mshatakiwa anaweza kudai anemshitaki afike mahakamani ?
 
Invisible, itabidi ufanye hima forum ya mambo ya sheria na mahakama isimame hivi mapema. Swali la Mwiba hapo juu naona ni la nguvu... wataalam wamsaidie jamani..

SteveD.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom