mtanzania in exile
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 1,335
- 1,183
Habari zenu wandugu,
Niliangalia yale matangazo ya EAC yaliyoletwa hapa na nimeona kazi moja ambayo ningelipenda mno kupeleka maombi yangu. Tatizo ni kuwa tangazo linasema maombi yapelekwe kwa The Secretary General, East African Community lakini hakuna jina la huyo The secretary general, jee kuna yeyete anaelijua jina kamili la mheshimiwa huyu?
Mara nyingi nimeambiwa ni muhimu sana unapoandika barua za maobi u-address kwa jina la mhusika na niepuke kabisa mtindo wa kuandika to whom it may concern, au dear sir/madame na ndio maana natafuta jina la mhusika.
ahsanteni
Niliangalia yale matangazo ya EAC yaliyoletwa hapa na nimeona kazi moja ambayo ningelipenda mno kupeleka maombi yangu. Tatizo ni kuwa tangazo linasema maombi yapelekwe kwa The Secretary General, East African Community lakini hakuna jina la huyo The secretary general, jee kuna yeyete anaelijua jina kamili la mheshimiwa huyu?
Mara nyingi nimeambiwa ni muhimu sana unapoandika barua za maobi u-address kwa jina la mhusika na niepuke kabisa mtindo wa kuandika to whom it may concern, au dear sir/madame na ndio maana natafuta jina la mhusika.
ahsanteni