Labda waandishi wanaopitia hapa JForums kama una suali labda unalo muda mrefu na ungependa waandishi wa habari na wa vyombo vya televisheni waliulize ,
Maana kila siku tunaona watajwa wanaitisha mikutano ya dharura kuzungumzia jambo bahati mbaya suali ulilonalo au unalolitegemea haliulizwi,weka hapa tuone waandishi wetu wakiwakilisha masuali hayo.
Maana kila siku tunaona watajwa wanaitisha mikutano ya dharura kuzungumzia jambo bahati mbaya suali ulilonalo au unalolitegemea haliulizwi,weka hapa tuone waandishi wetu wakiwakilisha masuali hayo.