Suala nyeti: Mgawanyo wa ruzuku UKAWA

mmh

JF-Expert Member
Nov 9, 2010
2,910
5,081
Kila siku tunaambiwa UKAWA imesaidia sana mgombea uraisi kupata kura nyingi. Kabla ya kuungana tuliambiwa kuna technical committee iliyokuwa inakaa na kuangalia namna gani pia ruzuku itakayopatikana kwa chama kitakachosimamisha mgombea itagawanywa kwa vyama shiriki vingine.

Tunapenda kujua kwa uwazi utekelezaji wa hili ukoje? Je CHADEMA inawagawia ruzuku NCCR, CUF na kile chama cha marehem Dr. Makaidi? Kwa afya ya kuimarisha vyama vya upinzani ningependa kuona CHADEMA wanakuwa na dhamira safi kwa kuwagawia vyama shiriki stahili zao.

Hii thread lengo lake ni kupata mrejesho pamoja na changamoto zake kama zipo, mojawapo ya misingi ya utawala bora ni uwazi.
 
Kila siku tunaambiwa UKAWA imesaidia sana mgombea uraisi kupata kura nyingi. Kabla ya kuungana tuliambiwa kuna technical committee iliyokuwa inakaa na kuangalia namna gani pia ruzuku itakayopatikana kwa chama kitakachosimamisha mgombea itagawanywa kwa vyama shiriki vingine.

Tunapenda kujua kwa uwazi utekelezaji wa hili ukoje? Je CHADEMA inawagawia ruzuku NCCR, CUF na kile chama cha marehem Dr. Makaidi? Kwa afya ya kuimarisha vyama vya upinzani ningependa kuona CHADEMA wanakuwa na dhamira safi kwa kuwagawia vyama shiriki stahili zao.

Hii thread lengo lake ni kupata mrejesho pamoja na changamoto zake kama zipo, mojawapo ya misingi ya utawala bora ni uwazi.
Makaidi kafa, Cuf imekufa, NCCR tumeioa na mwenyekiti wake yupo hoi hospitali, hizo ruzuku apewe nani?
 
Makaidi kafa, Cuf imekufa, NCCR tumeioa na mwenyekiti wake yupo hoi hospitali, hizo ruzuku apewe nani?
Vyama shiriki vya ukawa vinakufa natural death na tai shingoni, mbaya zaidi hata consultations zao zinafanyika ofisi binafsi mikocheni
 
Hapo humuoni
Makene
Pascal/Pasco
Mnyika
Bavicha

Na makada wengine wakilitolea ufafanuzi. Umeuliza jambo zuri lakini watapotezea
 
Hapo humuoni
Makene
Pascal/Pasco
Mnyika
Bavicha

Na makada wengine wakilitolea ufafanuzi. Umeuliza jambo zuri lakini watapotezea
Umesema kweli Kabisa kiongozi, muda ndo utaongea.
 
Kuna haja kubwa ya kufanya review na kutoa report promptly. Kwa ajili ya future decisions
 
Huwezi tenganisha chadema na pesa. Watatekeleza kila kipengere cha makubaliano isipokuwa kipengere cha pesa. Kwenye pesa hawana Ushirika na mtu.
 
Kila siku tunaambiwa UKAWA imesaidia sana mgombea uraisi kupata kura nyingi. Kabla ya kuungana tuliambiwa kuna technical committee iliyokuwa inakaa na kuangalia namna gani pia ruzuku itakayopatikana kwa chama kitakachosimamisha mgombea itagawanywa kwa vyama shiriki vingine.

Tunapenda kujua kwa uwazi utekelezaji wa hili ukoje? Je CHADEMA inawagawia ruzuku NCCR, CUF na kile chama cha marehem Dr. Makaidi? Kwa afya ya kuimarisha vyama vya upinzani ningependa kuona CHADEMA wanakuwa na dhamira safi kwa kuwagawia vyama shiriki stahili zao.

Hii thread lengo lake ni kupata mrejesho pamoja na changamoto zake kama zipo, mojawapo ya misingi ya utawala bora ni uwazi.
Hiyo ni siri ya vyama husika! Mikataba ya Serikali tu ndio tunataka iwe wazi lakini ya vyama vyetu ni SIRI!
 
Back
Top Bottom