Chilisosi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2008
- 3,051
- 747
Jamaa zangu,
Hili suala la uamsho na hawa jamaa zetu wazanzibari binafsi linanikera sana. naliona ni kama vile mbu kaingia kwenye neti ananikosesha usingizi kwa kelele. na dawa ya mbu ni kumfukuza nje hara au unapulizia rungu tu. Anayekubaliana nami naomba aseme watokeeee atiiii!
Hili suala la uamsho na hawa jamaa zetu wazanzibari binafsi linanikera sana. naliona ni kama vile mbu kaingia kwenye neti ananikosesha usingizi kwa kelele. na dawa ya mbu ni kumfukuza nje hara au unapulizia rungu tu. Anayekubaliana nami naomba aseme watokeeee atiiii!