Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,938
Hi friends!
Siko serious hapa msije mkaniteka bure ingawa siogopi sana kutekwa.
Suala la watumishi wa umma kusitishiwa baadhi ya stahiki zao ikiwemo kutoongezwa mshahara kwa miaka mitatu mfululizo na kutopandishwa madaraja kwa waliostahili kupandishwa na bado wako kimya je, mwenge umewapumbaza?
Siko serious hapa msije mkaniteka bure ingawa siogopi sana kutekwa.
Suala la watumishi wa umma kusitishiwa baadhi ya stahiki zao ikiwemo kutoongezwa mshahara kwa miaka mitatu mfululizo na kutopandishwa madaraja kwa waliostahili kupandishwa na bado wako kimya je, mwenge umewapumbaza?