Tila-lila2
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 653
- 1,058
Katika biashara yangu ya ujasiriamali nimetokea kuwakopesha sana walimu na hivi karibuni nilikopesha walimu wanaokaribia kustaafu na wamekuwa wanastaafu lkn hawalipi rejesho.
Sasa katika hawa niliowakopesha nimewauliza mbona Rais aliwahi kutoa maelekezo penshni zisichelewe inakuwaje?
Majibu yao sasa - Rais ndiyo kasababisha hatulipwi na tena wanadai hali ilivyo waliostaafu kuanzia Mwezi wa saba Mwaka jana hawatalipwa kwa sababu fedha zinatumika kwenye uchaguzi na Serikali haina fedha.
Sasa hayo sijui ni ya ukweli?
Sasa katika hawa niliowakopesha nimewauliza mbona Rais aliwahi kutoa maelekezo penshni zisichelewe inakuwaje?
Majibu yao sasa - Rais ndiyo kasababisha hatulipwi na tena wanadai hali ilivyo waliostaafu kuanzia Mwezi wa saba Mwaka jana hawatalipwa kwa sababu fedha zinatumika kwenye uchaguzi na Serikali haina fedha.
Sasa hayo sijui ni ya ukweli?