Francis12
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 7,533
- 22,276
Anaaandika Markus Mpangala
Suala la wanafunzi wanaopata ujauzito kuendelea na masomo au la, ni suala la 'kisera'. Ni sera ndio zinazungumza hayo masuala na sio kauli za jukwaani.
Andaa sera, peleka mjadala bungeni, wananchi wajadili, sheria ziwekwe. Pamoja na mambo mengi sana, yanayohitaji 'sera' na/au kuwekewa sheria. Ukiongoza nchi kwa kauli za jukwaani, unaenda kufeli!
Moja kati ya kauli zisizo na msingi zinazotumika kipindi hiki ni kauli ya "katika utawala wangu"! Tunarudi katika enzi za ujima wakati dola zikiongozwa kwa katiba isiyoandikwa! Maneno ya mtu mmoja kwa watu milioni 50! Teh!
Suala la wanafunzi wanaopata ujauzito kuendelea na masomo au la, ni suala la 'kisera'. Ni sera ndio zinazungumza hayo masuala na sio kauli za jukwaani.
Andaa sera, peleka mjadala bungeni, wananchi wajadili, sheria ziwekwe. Pamoja na mambo mengi sana, yanayohitaji 'sera' na/au kuwekewa sheria. Ukiongoza nchi kwa kauli za jukwaani, unaenda kufeli!
Moja kati ya kauli zisizo na msingi zinazotumika kipindi hiki ni kauli ya "katika utawala wangu"! Tunarudi katika enzi za ujima wakati dola zikiongozwa kwa katiba isiyoandikwa! Maneno ya mtu mmoja kwa watu milioni 50! Teh!