Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,439
- 92,803
Ccm haiitaji kura yako kubaki madarakani, unajidanganya bure.Hapa ndipo penye wapiga Kura na utulivu wa nchi unapatikana ,ukilikwaza hili kundi kubwa la vijana wenye nguvu na wenye mahitaji muhimu ni kujipalia kaa la moto,vijana hawa ndio huangusha serikali karibu zote duniani.
Wengi wao ni wasomi ambao wamekosa ajira,sasa wameamua kupoza machungu kupitia umachinga.
Serikali ilamua kuhamia Dodoma ili Jiji la Dar-es-saalam liwe la kibiashara,nashangaa viongozi kuingangania Ikulu ya mkoloni badala ya ile tumejenga kwa nguvu zetu ,hasa kiranja mkuu.
Wamachinga wataigharimu serikali ya CCM muda ujao kwa kuwasikiliza ma-tycoons.
Serikali isiwandoe kwa mkupuo, iwaondoe kwa mafungu kama inataka salama pia ihakikishe inapowapeleka panafaa na mzunguko wa biashara upo, rejeeni yaliyotokea Zambia pamoja na Rais Lungu kuwa na vikosi vyote, why not TANZANIA.
Wakunielewa kanielewa, wale wakuziba pamba maskioni endelea
Naunga mkono mia kwa mia wamachinga watupishe, wengine tumeacha kwenda kariakoo kwa sababu yao hakuna pa kupita.