LUS0MYA
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 862
- 1,097
Wakati tupo kwenye zoezi la kupanga wafanyabiashara wadogo maarufu kama wamachinga katika miji yetu, ili zoezi lifaulu lazima walaji wahusike kwa maana Serikali kupitia tasisi zake za serikali ya mitaa na pòlisi lipige marufuku pia walaji kutokununua bidhaa katika maeneo yasiyo rasmi na kuweka adhabu na vifungo hata vya nje kama ilivyo kwa wafanyabiashara watakaojaribu kurudi barabarani.
Hii itwahakikishia wateja wale wafanyabiashara waliohamia sehemu rasmi.walaji walazimishwe kufanya manunuzi katika sehemu rasmi kama masoko na hayo maeneo mapya ya wamachinga.
Hii itwahakikishia wateja wale wafanyabiashara waliohamia sehemu rasmi.walaji walazimishwe kufanya manunuzi katika sehemu rasmi kama masoko na hayo maeneo mapya ya wamachinga.