Suala la wafiwa kuandaa chakula kwa ajili ya wanaokuja kuzika ni utaratibu wa kupigwa vita

Wao wanapeleka chakula na vinywaji kwa mwenye msiba. Tena wanasema wafiwa wasiwashe moto kabisa kuandaa chakula.

Utaratibu mzuri kabisa.
Kama ni hivyo sawa,nilijua wanaenda mikono mitupu kabisa
 
Mila na desturi.Kama gakutakuwa na halo ngumu basis huo sio msiba nu sherehe.Mwafrika atabaki kuwa mwafrika tu, hatuwezi kuwa wazungu.Babu zetu waliamua hivyo na itabaki kuwa hivyo until when we transform into another civilization.
 
Halafu kuna mijitu inashinda msibani kuanzia asubuhi hadi usiku yupo tu na anakula chakula bila kuchangia hata senti eti anamfariji mfiwa, wengine wanalalamika msibani unakuta nyumba imejaa watu wanalala sebuleni, vyumbani hadi nje.
Ni utaratibu wa kipuuzi sana, wanatakiwa wabaki watu wachache wa karibu wasiozidi kumi.
Mkuu tumefika huku kweli! Tunajaji Fulani anashinda msibani iki ale.Mnajua baraka za watu nyie.Unataka msiba ubaki peke yako na watoto.This is Afrika umagharibu usitufanye tuwe wachoyo.
 
Mkuu tumefika huku kweli! Tunajaji Fulani anashinda msibani iki ale.Mnajua baraka za watu nyie.Unataka msiba ubaki peke yako na watoto.This is Afrika umagharibu usitufanye tuwe wachoyo.
Mkuu hujaelewa makusudio
 
Mkuu tumefika huku kweli! Tunajaji Fulani anashinda msibani iki ale.Mnajua baraka za watu nyie.Unataka msiba ubaki peke yako na watoto.This is Afrika umagharibu usitufanye tuwe wachoyo.
Mambo mengine ya kiafrika mnatakiwa kubadilika, unakujaje msibani unakaa siku nzima unakula na mchango hujatoa, na nyumbani kwako sio mbali, na huna ukaribu wowote na familia. Ni tabia mbaya badilikeni
 
Haiwezekani umefiwa na kipenzi chako halafu hapo hapo unawapikia wanaokuja kumzika wale washibe waende zao.
Hela zenyewe wanazotumia kupikia mara nyingi ni rambirambi ambazo zimetolewa na hao hao unaosema wasile..!!

Sidhani kama wanatoaga hela yao mfukoni, kama wanatoa basi ni kuongezea tu kwenye rambi rambi zilizokwisha kusanywa.
 
Hela zenyewe wanazotumia kupikia mara nyingi ni rambirambi ambazo zimetolewa na hao hao unaosema wasile..!!

Sidhani kama wanatoaga hela yao mfukoni, kama wanatoa basi ni kuongezea tu kwenye rambi rambi zilizokwisha kusanywa.
Huku kwetu wapo vijana wanashinda msibani kuanzia asubuhi hadi saa 7 usiku wanacheza katata, hawatoi mchango wowote wala kufanya kazi yoyote. Wao ni kula na kucheza karata. Huoni kama ni mzigo kwa wafiwa?
 
Huku kwetu wapo vijana wanashinda msibani kuanzia asubuhi hadi saa 7 usiku wanacheza katata, hawatoi mchango wowote wala kufanya kazi yoyote. Wao ni kula na kucheza karata. Huoni kama ni mzigo kwa wafiwa?
Jamaa sijui anasemaje yani,watu wanafanya hizo mambo bwana
 
Hela zenyewe wanazotumia kupikia mara nyingi ni rambirambi ambazo zimetolewa na hao hao unaosema wasile..!!

Sidhani kama wanatoaga hela yao mfukoni, kama wanatoa basi ni kuongezea tu kwenye rambi rambi zilizokwisha kusanywa.
Kama hujawahi kuona watu wanategemea chakula cha wafiwa basi ni bora ukanyamaza mkuu
 
Kama hujawahi kuona watu wanategemea chakula cha wafiwa basi ni bora ukanyamaza mkuu
Wapo wanaotegemea mkuu sijapinga hilo..
Ila kwa huko Tz ni misiba michache sana ambayo inamudu kuwalisha waombolezaji kwa pesa za familia..

Misiba mingi chakula chake ni sehemu ya rambirambi ambazo zimetolewa.

Nadhan hujanielewa mkuu..!!
 
Huku kwetu wapo vijana wanashinda msibani kuanzia asubuhi hadi saa 7 usiku wanacheza katata, hawatoi mchango wowote wala kufanya kazi yoyote. Wao ni kula na kucheza karata. Huoni kama ni mzigo kwa wafiwa?
Yes nakubaliana na wewe..!! Lakini pia kuna waliotoa rambirambi kufanikisha msiba; hivyo kwa kuonyesha kuwajali huwa wanaandaa chakula sasa msibani hakuna kadi,, unamtambuaje huyu ametoa rambiramb na huyu hajatoa??

Lakini logic nyingine ni kwamba wanaotoa huwa wanacover baadhi ya wasiotoa.

NOTE: Sikubaliani na hao wanaosubiri chakula cha msibani, lakini familia inaonyesha upendo kwa waombolezaji wake ni kitu kizuri.
 
Yes nakubaliana na wewe..!! Lakini pia kuna waliotoa rambirambi kufanikisha msiba; hivyo kwa kuonyesha kuwajali huwa wanaandaa chakula sasa msibani hakuna kadi,, unamtambuaje huyu ametoa rambiramb na huyu hajatoa??

Lakini logic nyingine ni kwamba wanaotoa huwa wanacover baadhi ya wasiotoa.

NOTE: Sikubaliani na hao wanaosubiri chakula cha msibani, lakini familia inaonyesha upendo kwa waombolezaji wake ni kitu kizuri.
Tatizo ni kwamba michango sio kwaajili ya chakula pekee, kuna jeneza, sometimes deni la matibabu na usafiri kama mnasafirisha. Na michango mara nyingi huwa haitoshi. Tupunguze kusababisha gharama ambazo hazina msingi.
 
Wapo wanaotegemea mkuu sijapinga hilo..
Ila kwa huko Tz ni misiba michache sana ambayo inamudu kuwalisha waombolezaji kwa pesa za familia..

Misiba mingi chakula chake ni sehemu ya rambirambi ambazo zimetolewa.

Nadhan hujanielewa mkuu..!!
Mm nimekuelewa ila Iko hivi mkuu.

Kama ukiona familia inajimudu kulisha waombolezaji basi ujue hiyo familia inajiweza.

Ila ukiona familia haijiwezi kulisha waombolezaji ama wazikaji basi ujue hata hao wachangiaji ujue hawatochangia kitu cha maana ambacho kitatosha kuwalisha hao wenyewe na kuwaachia wafiwa chochote kitu.

Utakuta gharama za chakula kwa jumla ni laki mbili ambazo familia imetoa kupika chakula,alafu mchango umepatikana laki moja,hapa maana yake ni hasara ya laki moja nzima kwa wafiwa,hapa jamii itaona kuwa wamekula walichochangia wakati kumbe kiuhalisia wametia hasara tu.

Kwa jamii ambazo hutoa chakula majirani pasi na kuwashughulisha wafiwa hiyo ni nzuri,ila pia kumbuka kuna jamii ambazo mfiwa ndo anakuwa ametoa gharama ya chakula kwa namna kama ambayo nimeielezea hapo juu.

Hizi jamii zipo mkuu na ndizo nilizokusudia mimi hizo.
 
Tatizo ni kwamba michango sio kwaajili ya chakula pekee, kuna jeneza, sometimes deni la matibabu na usafiri kama mnasafirisha. Na michango mara nyingi huwa haitoshi. Tupunguze kusababisha gharama ambazo hazina msingi.
Na hilo ndo nalikazia hapa.

Watu wamechangia laki alafu wafiwa wametumia laki mbili kugharamia chakula n.k,alafu mtu anasema aamekula alichochangia it's non sense
 
Kinachosikitisha zaid katka baadhi ya misiba wafiwa kukosa chakula walicho gharamia wenyewe huku baadhi ya waombolezaji nawalioshiriki kukiandaa kuondoka na chakula huku wafiwa wakirud kuandaa kingine jikon inastaajabisha sana kwenye misiba ya kiswahil
 
Kinachosikitisha zaid katka baadhi ya misiba wafiwa kukosa chakula walicho gharamia wenyewe huku baadhi ya waombolezaji nawalioshiriki kukiandaa kuondoka na chakula huku wafiwa wakirud kuandaa kingine jikon inastaajabisha sana kwenye misiba ya kiswahil
Daah
 
Back
Top Bottom