Kuna jambo hili la ulinzi shirikishi ambalo naona linaendelea kushika kasi katika jamii yetu. Je, lipo kisheria? Kazi ya wizara ya ulinzi ni ipi kama wananchi tunatakiwa kujilinda wenyewe? Kama wanahitaji nguvu kazi zaidi kwanini wasiajiri badala ya kurudisha mzigo kwa wananchi?
Mi nachukizwa sana kudaiwa pesa ya ulinzi huu kila mwezi! Kwa nini wananchi ndo tulipie ulinzi huu wakati tunalipa kodi? Wizara hii ya ulinzi haipewi bajeti yake?
Mwenye uelewa zaidi anisaidie!
Mi nachukizwa sana kudaiwa pesa ya ulinzi huu kila mwezi! Kwa nini wananchi ndo tulipie ulinzi huu wakati tunalipa kodi? Wizara hii ya ulinzi haipewi bajeti yake?
Mwenye uelewa zaidi anisaidie!