Suala la UKIMWI Njombe: Inahitajika hali ya dharura

mdau mpya

JF-Expert Member
Aug 26, 2014
471
636
Nianze kwa kudeclare interest kuwa mimi nafanya kazi katika shirika linalohusika na masuala ya afya ikiwemo HIV.

Katika hali isiyo ya kawaida, nimekuwa Njombe kwa taktibani miezi 6 nikitembelea vijiji kwa vijiji nikikusanya takwimu. Kuna baadhi ya vijiji siku ya kuchukuwa dawa (ARV) ni kama kijiji kizima kinapanga mstari.

Kuna hadi watoto wadogo kwenye miaka 18 n.k. Hawa wageni niliokuwa nao (mabeberu) mpaka walikuwa wanalia njiani tukiwa tunaelekea tulikokuwa tunakaa.

Sometime unakuta baba, mama, watoto wote wamepanga mstari kusubiri dawa. This is a absolutely not acceptable.

Viongozi wa dini huko Njombe hubirini injili ila msisahau kuwahusia watu kujiepusha na hili gonjwa. Ukienda kwenye shule za sekondari hali si shwari kabisa.

Taifa litangaze hali ya hatari na inahitajika nguvu ya ziada otherwise ndugu zangu WABENA, WAKINGA, WAHEHE wataisha in case mabeberu wakazuia dawa hata kwa siku chache tu.

Wizara ya Afya amkeni!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Too sad!

Nyie kama waelimishaji juhudi gani mnafanya kuhakikisha kwamba maambukizi mapya yanapungua au kuisha kabisa?

Nasikia kuwa ulanzi ni kichocheo kikuu cha kushiriki ngono zembe.

Nashauri mianzi yote ifyekwelee mbali kidogo itapunguza kasi ya maambukizi.
 
Miezi mitatu iliyopita nilipata nafasi ya kuongea na Kiongozi wa CWT Njombe; alisema kitu ambacho nilikipenda sana! Alisema, uitishwe mkutano liwe kama kongamano then Wana Njombe wajiulize, Je ni sahihi kila mwaka Njombe kushika namba kwakua na idadi kubwa ya wagonjwa wa UKIMWI?

ALISEMA NI WAKATI KUDHIBITI GUEST HOUSES NA KUWAJUA WAGENI WOTE HASA KWENYE BAR AMBAPO KUNA WALE WADADA WA SINGIDA WEUPEE WANAITWA MBAYUWAYU AMBAO INASEMEKANA NDIO AGENTS WAKUBWA WA KUENEZA NGOMA.

Njombe kaeni mzungumze

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama mtaalamu huoni hiyo ya kuchukua dawa ni jambo la kupigiwa mfano. Byotswana robo ya Watu wanaishi na maambukizi.

Ukiniambia sehemu safe kwa HIV kati ya Dar na Njombe nitachagua Njombe. Kula dawa kwa kuzingatia inaamaanisha elimu kuhusu Ukimwi imewafikia na kuzingatia.

Unajua kuwa Mikoa mingine karibia nusu ya Wenye maambukizi wameacha dawa? Unafahamu hatari yake? Unajua kuwa kwa kitendo cha mwamko mzuri wa kuchukua dawa maana yake kampeni na fedha za mabeberu zimetumika vizuri?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi Makete ipo Njombe eeeh ? Nilikwenda huko,nililia sana. Yaani unakuta mtoto wa 11 yrs ndo baba ndo mama. Anatunza wadogo zake. Wazazi wote wamekufa kwa HIV-AIDS. Kule ni majanga.
Wanahitaji Elimu ya kutumia condom. Nilifanya research nikakuta wengi huenda kutafuta kazi Dar. Wakiupata wanarudi kwao na kuambukiza wengine.
Naamini matumizi ya condom yanaweza kabisa kupunguza maambukizi mapya.
 
Mbona sasa ni nafuu sana mkuu. Uliza miaka 10 kurudi nyuma hali ilikuwaje.. hata wewe usingetamani kubaki maeneo hayo.

Lakin baba lao angali pia na wewe kwa kipindi utakapokuwepo ukanda huo.

Ajali haitabiriwi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani hio miaka kwa takwimu zilizokwepo ni wilaya moja tu ya Makete ndo ilikuwa tishio ila sasa hivi Ludewa, Makete, Njombe mjini, Vijijini, Makambako, Wanging'ombe hali ni tete.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miezi mitatu iliyopita nilipata nafasi ya kuongea na Kiongozi wa CWT Njombe; alisema kitu ambacho nilikipenda sana! Alisema, uitishwe mkutano liwe kama kongamano then Wana Njombe wajiulize, Je ni sahihi kila mwaka Njombe kushika namba kwakua na idadi kubwa ya wagonjwa wa UKIMWI?

ALISEMA NI WAKATI KUDHIBITI GUEST HOUSES NA KUWAJUA WAGENI WOTE HASA KWENYE BAR AMBAPO KUNA WALE WADADA WA SINGIDA WEUPEE WANAITWA MBAYUWAYU AMBAO INASEMEKANA NDIO AGENTS WAKUBWA WA KUENEZA NGOMA.

Njombe kaeni mzungumze

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wote wanaongea bila utafiti.
Ukiona rate hiyo ya maambukizi ujue athari zilianza miaka mingi nyuma.

Halafu pia mtambue taarifa na takwimu kuhusu Ukimwi Nchi hii zinachezewa sana ili kuvutia donors. Akija mfadhili na fedha zake akasema Hiv kwa machangudoa ni kubwa sana utashangaa intervention itakavyoleta matokeo.

Utashangaa rate ya maambukizi kwa wauza ngono/ malaya iko chini in reality kuliko inavyosemwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi Makete ipo Njombe eeeh ? Nilikwenda huko,nililia sana. Yaani unakuta mtoto wa 11 yrs ndo baba ndo mama. Anatunza wadogo zake. Wazazi wote wamekufa kwa HIV-AIDS. Kule ni majanga.
Wanahitaji Elimu ya kutumia condom. Nilifanya research nikakuta wengi huenda kutafuta kazi Dar. Wakiupata wanarudi kwao na kuambukiza wengine.
Naamini matumizi ya condom yanaweza kabisa kupunguza maambukizi mapya.
Sasa hio ya makete sa ivi ni kama sumu imesha eneo mkoa mzima, utaona bibi mjane ana wajukuu kama 7 hivi analea. Na mpaka analia kuwa Mungu akiamua kumtoa leo wale watoto wataishije. Kondomu zipo za kutosha sasa sijui kama ni matumizi au ndo wakilewa hawatumii hata haieleweki. Ukienda hospitalini ndo balaa kati wengi ya wanawake wanaopata mimba wakifika hospitali wana Virus.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao wote wanaongea bila utafiti.
Ukiona rate hiyo ya maambukizi ujue athari zilianza miaka mingi nyuma.

Halafu pia mtambue taarifa na takwimu kuhusu Ukimwi Nchi hii zinachezewa sana ili kuvutia donors. Akija mfadhili na fedha zake akasema Hiv kwa machangudoa ni kubwa sana utashangaa intervention itakavyoleta matokeo.

Utashangaa rate ya maambukizi kwa wauza ngono/ malaya iko chini in reality kuliko inavyosemwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hujui ukisemacho! Niko kwenye hii field kwa miaka zaidi ya kumi, nimezunguka mikoa yote Tanzania kasoro Pemba tu! Kwahio najua ninachosema Mpwa! Hali ni mbaya sana. Niliwahi kuandika hapa kuwa kuna Uhaba wa Condoms pia! Watu wanagongana kavu kavu. Hali ni mbaya sana
 
Hao wote wanaongea bila utafiti.
Ukiona rate hiyo ya maambukizi ujue athari zilianza miaka mingi nyuma.

Halafu pia mtambue taarifa na takwimu kuhusu Ukimwi Nchi hii zinachezewa sana ili kuvutia donors. Akija mfadhili na fedha zake akasema Hiv kwa machangudoa ni kubwa sana utashangaa intervention itakavyoleta matokeo.

Utashangaa rate ya maambukizi kwa wauza ngono/ malaya iko chini in reality kuliko inavyosemwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii sii kweli mkuu, sisi tunakusanya raw data kutoka kwenye vituo. Wangapi wanachukua dawa na wamejiandikisha. Ni ngumu mtu akacheza na list ya wanywa dawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama mtaalamu huoni hiyo ya kuchukua dawa ni jambo la kupigiwa mfano. Byotswana robo ya Watu wanaishi na maambukizi.

Ukiniambia sehemu safe kwa HIV kati ya Dar na Njombe nitachagua Njombe. Kula dawa kwa kuzingatia inaamaanisha elimu kuhusu Ukimwi imewafikia na kuzingatia.

Unajua kuwa Mikoa mingine karibia nusu ya Wenye maambukizi wameacha dawa? Unafahamu hatari yake? Unajua kuwa kwa kitendo cha mwamko mzuri wa kuchukua dawa maana yake kampeni na fedha za mabeberu zimetumika vizuri?



Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa umenena vyema sana! Kwahili nakubaliana na wewe.
 
Nianze kwa kudeclare interest kuwa mimi nafanya kazi katika shirika linalohusika na masuala ya afya ikiwemo HIV.

Katika hali isiyo ya kawaida, nimekuwa Njombe kwa taktibani miezi 6 nikitembelea vijiji kwa vijiji nikikusanya takwimu. Kuna baadhi ya vijiji siku ya kuchukuwa dawa (ARV) ni kama kijiji kizima kinapanga mstari.

Kuna hadi watoto wadogo kwenye miaka 18 n.k. Hawa wageni niliokuwa nao (mabebari) mpaka walikuwa wanalia njiani tukiwa tunaelekea tulikokuwa tunakaa.

Sometime unakuta baba, mama, watoto wote wamepanga mstari kusubiri dawa. This is a absolutely not acceptable.

Viongozi wa dini huko Njombe hubirini injili ila msisahau kuwahusia watu kujiepusha na hili gonjwa. Ukienda kwenye shule za sekondari hali si shwari kabisa.

Taifa litangaze hali ya hatari na inahitajika nguvu ya ziada otherwise ndugu zangu WABENA, WAKINGA, WAHEHE wataisha in case mabeberu wakazuia dawa hata kwa siku chache tu.

Wizara ya Afya amkeni!

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya ndio mambo ya kuyaangalia. Mtoa mada hili jambo linahitaji commitment kubwa sana hasa kwa upande wa serikali.
Sekta ya Afya ina hali tete sana....
Hebu jaribu kufikiria hao watoto wa miaka kumi na nane watakuwa na future ya aina gani? Elimu hawana..Umasikini wa kutupwa hao wazungu wana haki ya kulia kwani kwa mtu ambaye amekamilika ni ngumu kuvumilia.
Tumekalia kuita mabeberu..mabeberu huku hata ARV wanatengeneza wao na kama haitoshi wanatugawia..
Hii nchi hii kazi Uchadema na Uccm...Pathetic.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nianze kwa kudeclare interest kuwa mimi nafanya kazi katika shirika linalohusika na masuala ya afya ikiwemo HIV.

Katika hali isiyo ya kawaida, nimekuwa Njombe kwa taktibani miezi 6 nikitembelea vijiji kwa vijiji nikikusanya takwimu. Kuna baadhi ya vijiji siku ya kuchukuwa dawa (ARV) ni kama kijiji kizima kinapanga mstari.

Kuna hadi watoto wadogo kwenye miaka 18 n.k. Hawa wageni niliokuwa nao (mabebari) mpaka walikuwa wanalia njiani tukiwa tunaelekea tulikokuwa tunakaa.

Sometime unakuta baba, mama, watoto wote wamepanga mstari kusubiri dawa. This is a absolutely not acceptable.

Viongozi wa dini huko Njombe hubirini injili ila msisahau kuwahusia watu kujiepusha na hili gonjwa. Ukienda kwenye shule za sekondari hali si shwari kabisa.

Taifa litangaze hali ya hatari na inahitajika nguvu ya ziada otherwise ndugu zangu WABENA, WAKINGA, WAHEHE wataisha in case mabeberu wakazuia dawa hata kwa siku chache tu.

Wizara ya Afya amkeni!

Sent using Jamii Forums mobile app
Takwimu za ukimwi zinatisha ukizifuatilia kwa sasa dunia inakaa kmya kama hakuna tatizo qu ni dogo hapa souz hali ni mbaya kuliko kawaida watu wanakunywa dawa kmya kimya na kuwaaambukiza wengne ila kwa kuwa uchumi uko vzur kuko kmua kabsa lakn tafuta watu wa vitengo wakupe takwimu aisee utakimbia wanawake wazur san hapa souz lkn wameoza vbaya sanayani ni hatar kuliko kawaida na mbaya zaid kukataa hawajui bas wageni wanakufa kimya kmya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujui ukisemacho! Niko kwenye hii field kwa miaka zaidi ya kumi, nimezunguka mikoa yote Tanzania kasoro Pemba tu! Kwahio najua ninachosema Mpwa! Hali ni mbaya sana. Niliwahi kuandika hapa kuwa kuna Uhaba wa Condoms pia! Watu wanagongana kavu kavu. Hali ni mbaya sana
Mkuu hili ni janga na ukiangalia vyombo vingi vya habari sasa hivi hakuna anayepiga kelele mpama waje wahisani, ukienda huko wao kabisa no one care.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hio ya makete sa ivi ni kama sumu imesha eneo mkoa mzima, utaona bibi mjane ana wajukuu kama 7 hivi analea. Na mpaka analia kuwa Mungu akiamua kumtoa leo wale watoto wataishije. Kondomu zipo za kutosha sasa sijui kama ni matumizi au ndo wakilewa hawatumii hata haieleweki. Ukienda hospitalini ndo balaa kati wengi ya wanawake wanaopata mimba wakifika hospitali wana Virus.

Sent using Jamii Forums mobile app
Naona wanahisi condom haina utamu. Kinachosikitisha maisha duni kweli kweli. Na HIV nayo inawatafuna.Thanks to the science walau kuna ARV.
 
Back
Top Bottom