kalipeni
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 1,528
- 1,241
Suala la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, kupitia UCC kutangaza kazi na kuweka vigezo referees lazima awe Mfanyakazi wa UDSM au UCC yenyewe ni moja ya rushwa makazini kwakua ili upate iyo kazi lazima ndugu yako awe Mfanyakazi wa UDSM
Kwa watoto wa Wakulima ambao hawana ndugu madokta au maprofesa hawana haki ya kupata ajira tena bila hofu wala uoga Taasisi za Serikali zinatangaza kazi na kuweka kigezo cha undugu.
TAKUKURU fuatilieni hili kwani halina tofauti na aina zingine za rushwa.
Kwa watoto wa Wakulima ambao hawana ndugu madokta au maprofesa hawana haki ya kupata ajira tena bila hofu wala uoga Taasisi za Serikali zinatangaza kazi na kuweka kigezo cha undugu.
TAKUKURU fuatilieni hili kwani halina tofauti na aina zingine za rushwa.