Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Kwa mambo yaliyomkuta Tundu Lissu watu wanaweza kuyachukulia poa lakini kuna muda ukifika kuna watu hayatakuja kuwaacha salama, watakuja kuishi kwa shida sana, kuna watu wataendelea kuwalaumu mpaka kufa kwao na hata wakifa kuna watu wataendelea kuwalaumu.
Japo watu husema kila mtu ana uzuri wake na ubaya marehemu hasemwi vibaya ila kuna watu wataendelea kuwalaumu lakini pia wataendelea kuvilaani vizazi vyao mpaka mwisho wa Dunia.
Narudia kusema waliomfanyia Lissu unyama hadi kumsababishia ulemavu ubaya wote aliofanyiwa muda ukifika waliomfanyia ukatili ule Dodoma hawatakuja kuishi kwa raha hapa dunianI.
Japo watu husema kila mtu ana uzuri wake na ubaya marehemu hasemwi vibaya ila kuna watu wataendelea kuwalaumu lakini pia wataendelea kuvilaani vizazi vyao mpaka mwisho wa Dunia.
Narudia kusema waliomfanyia Lissu unyama hadi kumsababishia ulemavu ubaya wote aliofanyiwa muda ukifika waliomfanyia ukatili ule Dodoma hawatakuja kuishi kwa raha hapa dunianI.