Danp36
JF-Expert Member
- Jul 31, 2010
- 2,096
- 920
Yaani
Kwa mtu wa iringa ni rahisi kujua, iringa ni ndogo ssana, na sanora ni kama ubungo hapo au usome kibasila au TIA na usipajue uwanja wa uhuruTime will tell...
Ila inawezekama kabisa kuishi sehemu kwa kipindi kirefu kidogo na usitambue maneno vilivyo...
Mfano wanafunzi wanaokuja Dar kimasomo kutoka mikoa mingine (Vyuo vikuu) wengi maneno mengi ya jiji la Dar bado hawaijui...
Cc: mahondaw