Suala la NICOL ni Jipu linahitaji kutumbuliwa na Mh Rais wa awamu ya Tano

mmaroroi

JF-Expert Member
May 8, 2008
2,960
544
Ni muda mrefu sasa tangu wawekeza katika Kampuni ya uwekezaji NICOL kuwekeza humo lakini hadi sasa haieleweki nini kinaendelea katika Kampuni. Hili ni jipu ambalo linahitaji kutumbuliwa na Mh Rais wa awamu ya Tano John Pombe Magufuri. Wadau popote mlipo mmfikishie Mh Rais suala la NICOL ili alimulike kwa karibu ili Watanzania waliowekeza mle wapate haki zao. Nawasilisha.
 
Ni muda mrefu sasa tangu wawekeza katika Kampuni ya uwekezaji NICOL kuwekeza humo lakini hadi sasa haieleweki nini kinaendelea katika Kampuni. Hili ni jipu ambalo linahitaji kutumbuliwa na Mh Rais wa awamu ya Tano John Pombe Magufuri. Wadau popote mlipo mmfikishie Mh Rais suala la NICOL ili alimulike kwa karibu ili Watanzania waliowekeza mle wapate haki zao. Nawasilisha.
akina mosha na Mengi ndiyo wadau wakubwa wa NICOL, Rais tusaidie tupate haki zetu, hii inarudisha nyuma moyo wa kuungana kuushinda umaskini kwani wasomi watumia mwaya huu vibaya,miakasita sasa sijajua hela zangu zimefanyiwa nini,
 
Ni muda mrefu sasa tangu wawekeza katika Kampuni ya uwekezaji NICOL kuwekeza humo lakini hadi sasa haieleweki nini kinaendelea katika Kampuni. Hili ni jipu ambalo linahitaji kutumbuliwa na Mh Rais wa awamu ya Tano John Pombe Magufuri. Wadau popote mlipo mmfikishie Mh Rais suala la NICOL ili alimulike kwa karibu ili Watanzania waliowekeza mle wapate haki zao. Nawasilisha.
akina mosha na Mengi ndiyo wadau wakubwa wa NICOL, Rais tusaidie tupate haki zetu, hii inarudisha nyuma moyo wa kuungana kuushinda umaskini kwani wasomi watumia mwaya huu vibaya,miakasita sasa sijajua hela zangu zimefanyiwa nini,
Poleni, Nicol ni private company, pelekeni malalamiko CMSA sio kila kitu rais!.

Kwenye uwekezaji kuna faida na hasara hivyo inaweza kula kwenu ilakwa sasa Nicol iko ok tuu soon mtagaiwa gawio lenu!.

Pasco
 
Poleni, Nicol ni private company, pelekeni malalamiko CMSA sio kila kitu rais!.

Kwenye uwekezaji kuna faida na hasara hivyo inaweza kula kwenu ilakwa sasa Nicol iko ok tuu soon mtagaiwa gawio lenu!.

Pasco

UKWELI NI KWAMBA KAMA VIONGOZI WA NICOL HAWAJITOKEZI BASI AKINA MENGI NA WACHAGA WENZAKE WAJUE KUWA, SISI MASKINI TULIOCHANGIA KUNUNUA HISA KWENYE KAMPUNI HIYO MIAKA 11 ILIYOPITA TUNAUMIA KWA KITENDO CHA MENGI NA WENZAKE AKINA MOSHA KUKAA KIMYA JUU YA KUKAA KIMYA JUU YA MAENDELEO YA KAMPUNI.MAGAZETI PIA YAMESHINDWA KUFANYA UTAFITI JUU YA NICOL.
 
Mimi nafikiri registra of companies na cmsa. Wanaweza kusaidia kwa kuhakikisha Hiyo board nang ya nicol kwa ujumla wake wanawasolisha mahesabu ya mwaka audited kwa WANa hisa na mipango kazi wa muda mfupi na muda mrefu na wanahisa wapewe nafasi ya kuijadili na kuafiki au kuipinga ikiwemo kuchagua WANa board wapya Kama inabidi na pia Tanzania Oxygen ltd nao wamulikwe sio Watu wameshikilia investment za Watu kwa maslahi yao
 
UKWELI NI KWAMBA KAMA VIONGOZI WA NICOL HAWAJITOKEZI BASI AKINA MENGI NA WACHAGA WENZAKE WAJUE KUWA, SISI MASKINI TULIOCHANGIA KUNUNUA HISA KWENYE KAMPUNI HIYO MIAKA 11 ILIYOPITA TUNAUMIA KWA KITENDO CHA MENGI NA WENZAKE AKINA MOSHA KUKAA KIMYA JUU YA KUKAA KIMYA JUU YA MAENDELEO YA KAMPUNI.MAGAZETI PIA YAMESHINDWA KUFANYA UTAFITI JUU YA NICOL.
Mengi alijiuzulu siku nyingi, Mosha aliondolewa ba CMSA, kuna viongozi wengine..
NICOL leadership crisis finally settled - Daily News
Pasco
 
UKWELI NI KWAMBA KAMA VIONGOZI WA NICOL HAWAJITOKEZI BASI AKINA MENGI NA WACHAGA WENZAKE WAJUE KUWA, SISI MASKINI TULIOCHANGIA KUNUNUA HISA KWENYE KAMPUNI HIYO MIAKA 11 ILIYOPITA TUNAUMIA KWA KITENDO CHA MENGI NA WENZAKE AKINA MOSHA KUKAA KIMYA JUU YA KUKAA KIMYA JUU YA MAENDELEO YA KAMPUNI.MAGAZETI PIA YAMESHINDWA KUFANYA UTAFITI JUU YA NICOL.
Laiti ungejua uhusiano uliopo baina ya magazeti (vyombo vya habari kwa ujumla) na hao unaowataja. Walinzi wao wengine wapo humu JF. Thubutu!!!!!!!!!
 
Laiti ungejua uhusiano uliopo baina ya magazeti (vyombo vya habari kwa ujumla) na hao unaowataja. Walinzi wao wengine wapo humu JF. Thubutu!!!!!!!!!

UKWELI NI KWAMBA VIONGOZI WA NICOL HAWATEND HAKI KWA KUNYAMAZA BADALA YA KUTOA TAARIFA JUU YA USALAMA WA PESA ZA WANACHAMA.HII ILITAKIWA IWE KAMPUNI YA KUWEKEZA KWENYE MAENEO STRATEGIC KAMA GAS, OIL ,UMEME ETC..LAKINI TATIZO LA WAAFRICA WA KITANZANIA WOTE WAMEKAA KUSHINDANIA KUTUDHULUMU WATANZANIA WALIONUNUA HISA ZA NICOL
 
Back
Top Bottom