Abdallah kimwaga
Member
- Dec 16, 2012
- 49
- 8
Naomba kujua sheria inasemaje juu ya mwanamke anayejenga nyumba kwa siri akiwa ndani ya ndoa
Sheria inasema hivyo?Ni mali ya wote wawili hata kama alijenga kwa kifcho...
Yes, kuna case law on that naiangalia kwenye maktaba yangu nitaiweka nikiipataSheria inasema hivyo?
Najenga naandika jina la mama yangu au ndugu yanguYes, kuna case law on that naiangalia kwenye maktaba yangu nitaiweka nikiipata
Under the eyes of law, hiyo siyo yako. Mama yako au ndugu yako akifa ghafla, watoto wa mama ambao ni ndugu zako watadai mali ya mama yao mgawane hivyo hivyo kwa watoto wa huyo ndugu... ni hatari vile vileNajenga naandika jina la mama yangu au ndugu yangu
Ni sawa tu, bora iende kwa ndugu zangu kuliko ihesabike ni yangu na mume wangu siku tukifa ndugu za mume wachukueUnder the eyes of law, hiyo siyo yako. Mama yako au ndugu yako akifa ghafla, watoto wa mama ambao ni ndugu zako watadai mali ya mama yao mgawane hivyo hivyo kwa watoto wa huyo ndugu... ni hatari vile vile
Inakuaje tukiacha mke anadai tugawane wakati kanikuta nimejenga ,vipi yeye ajenge Kwa mtaji niliompa Mimi na tusigawaneNaomba kujua sheria inasemaje juu ya mwanamke anayejenga nyumba kwa siri akiwa ndani ya ndoa
Umeipata?Yes, kuna case law on that naiangalia kwenye maktaba yangu nitaiweka nikiipata
Nitaingalia, bado sijafanya hiyo homeworkUmeipata?
Kwa mjomba hakuna urithi, hapa humkomowi mume wala ndugu zake bali unawakomowa watoto wako.Ni sawa tu, bora iende kwa ndugu zangu kuliko ihesabike ni yangu na mume wangu siku tukifa ndugu za mume wachukue
Mjinga mwenyeweKwa mjomba hakuna urithi, hapa humkomowi mume wala ndugu zake bali unawakomowa watoto wako.
Andika wosia wa mali zako na si ujinga huu ulioandika hapa.
Cha muhimu dawa imekuingia na umeuona ujinga wako.Mjinga mwenyewe