Abby Senior
Senior Member
- Feb 14, 2015
- 154
- 60
Habari zenu wanajamii,
Nashawishika kuuliza hivi kweli inawezekana na ni sheria au ruhusa kwa mtoto kurudishwa nyumbani na kukosa mitihani kwa kuwa mzazi hajalipa ada? Na ikitokea mtoto anekaa nyumbani muda fulani na baadae mzazi akalipa ada baadae, je masomo aliyoyakosa mtoto na mitihani na athari zote inakuwaje.
Nawasilisha kwa mawazo zaidi.
Nashawishika kuuliza hivi kweli inawezekana na ni sheria au ruhusa kwa mtoto kurudishwa nyumbani na kukosa mitihani kwa kuwa mzazi hajalipa ada? Na ikitokea mtoto anekaa nyumbani muda fulani na baadae mzazi akalipa ada baadae, je masomo aliyoyakosa mtoto na mitihani na athari zote inakuwaje.
Nawasilisha kwa mawazo zaidi.