Kichaaa
Member
- Jun 21, 2021
- 11
- 11
Nimejitahidi kupitia kidogo rasimu ya katiba mpya ambayo kila mtanzania mwenye utimamu anatamani ipite.....
Sasa naomba maelezo kidogo wakuu kuhusu suala la muungano je kutakuwa na serikali moja,mbili ama tatu... Jambo hili sijabahatika kuliona katika rasimu yetu au SIJAELEWA naomba mtaalam wa hii rasimu ya mwisho ya katibà mpya atujuze tulio njia panda kama mm
Naombeni msaada wenu WAKUU
Sasa naomba maelezo kidogo wakuu kuhusu suala la muungano je kutakuwa na serikali moja,mbili ama tatu... Jambo hili sijabahatika kuliona katika rasimu yetu au SIJAELEWA naomba mtaalam wa hii rasimu ya mwisho ya katibà mpya atujuze tulio njia panda kama mm
Naombeni msaada wenu WAKUU