Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,182
- 24,677
Haujazaliwa walifanya hivyo
All former presidents walikua wanaheshimu katiba na walikua wanaheshimu haki za binadamu!
Now,look at this lunatic you are dick sucking...he’s a mess!
Haujazaliwa walifanya hivyo
Hakimu wa kumfunga hayupo,
Wishful thinking....
Umeongea na watu wote nchini?Itakua sherehe nchi nzima, na pengine inaweza ikafanywa sikukuu ya watumishi wa umma.
Yaani hapo ndipo napaipendea TZ nchi yangu. Ikulu ni kila kitu mtakiwa muelewe kabisa kabisa. kwa lugha nyingine ni muhimili uliojichimbia chini zaidi ya mingine!!!!!!!!!!!! Mwagahulila ago!!!!Katiba imefanyiwa marekebesho na Raisi hivi sasa na itasema kuwa;
"HAKUNA ALIYEPEWA UWEZO WA KUTEUA AKANYIMWA WA KUTENGUA"
Kwa maana hiyo hata Chief Justice anaweza kutenguliwa tu.
Ni dunia inayomhitaji!
Those are hypotheticals to challenge your notions.Start with your evidence to support those two claims.
Kuwa anataka IST gari simple tu.
Kuwa kakagua mahesabu kaona IST inatumia mafuta vizuri kuliko land cruiser
Ukinipa hizo evidence nami nakupa zangu.haya anza kutoa.😁😁😁😁
Othman, niwie radhi Nakusahihisha kidog, sipangiwi katu! alisikia akisema Jiwe! Hakuna cha kushauriwa, dictator huwa hashauriwi! Othman tell the truth! Kutoa kauli kuwa mpya asijifany muhimili ni wazi haya ni maamuzi ya jiwe binafsi!Mwanasheria yeyote aliyemshauri Rais kumuondoa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa kutumia Sheria inayoweka masharti ya vipindi bila kuzingatia masharti ya wazi ya ibara ya 144(1) ya Katiba amemkosea sana Rais, amewakosea sana Watanzania na ameifedhehesha sana taaluma ya Sheria.
Pia kasome ibara ya 36 ya Katiba ili akili ikuingie vizuri ili uje uendelee kutoa mapovu zaidi.Othman, niwie radhi Nakusahihisha kidog, sipangiwi katu! alisikia akisema Jiwe! Hakuna cha kushauriwa, dictator huwa hashauriwi! Othman tell the truth! Kutoa kauli kuwa mpya asijifany muhimili ni wazi haya ni maamuzi ya jiwe binafsi!
Peleka kesi Mahakamani mkuu lasivyo utapata stress bure!This is shame!very sad
Watanzania tuamke, Katiba ya mwak 1977 ina-limit mihula miwili ya miaka mitanomitano, ndiyo maana kabla ya hiyo katiba muda wao ulikuwa unabadilika.
Heb tupitie historia kidogo.
View attachment 1252969
View attachment 1252970
Yaani prof. Assad anavyochukiwa, hadi picha yake kwenye website (National Audit Office of Tanzania » The CAG) walishafuta kwenye orodha ya ma-CAG.
-Je, kafikisha miaka 60? (Mussa Juma ASSAD Born : 6 October 1961)
-Je, sheria ilibadilishwa lini kustaafishwa kabla ya miaka 60? (Mandatory retirement also known as enforced retirement or compulsory retirement)
-Je, anaumwa ama ametiwa hatiani na tume ya maadili?
-Je, Rais amefuata katiba inavyosema?
View attachment 1252957
View attachment 1252749
A Dictator on the Rise? How President Magufuli is Now Showing His True ColoursPia kasome ibara ya 36 ya Katiba ili akili ikuingie vizuri ili uje uendelee kutoa mapovu zaidi.
Tanzania politics dangerous because of 'dictator' Magufuli – shot opposition chiefYaani unaleta quote za Wakili Mfu Fatuma Karume!!