Kwa kauli yako hii, wacha nikupuuze... nalazimika kukuupuza kwa sababu, mosi am certain hujai hata kwenye kiganja cha Shivji, pili, thread yangu niliiandika kabla Shivji hajagundua kosa lake kwahiyo nakuona kituko unavyodai na-rely kwa Shivji, tatu, unakuwa kituko unaposema:-Ni kituko kwa sababu hatuna sheria inayosema kwamba eti bunge ndilo lenye mamlaka ya ku-comment kuhusu ukiukwaji wa sheria au katiba!, nne; kwambaThis's too low to argue manake inaonesha wazi huna uelewa kuhusu role ya mitandao ya kijamii, na lastly, inatia uvivu kurudia kile kile kwa sababu hakuna ulichohoji ambacho watu hawajakielezea!!
Jibu viraka viraka tu na maswali ya msingi kwepa, utajidanganya wewe mwenyewe
 
Assad hajastaafishwa. Amemaliza mkataba wake wa miaka mitano ambao haujaongezwa tena.

Rais ana prerogative ya kuongeza mkataba huo kwa miaka mitano mingine, au kutoongeza.

Magufuli kamtoa Assad kwa sababu Assad ni mtu wa msimamo.

Lakini, Magufuli hajamtoa Assad kinyume na katiba.
Noted
 
Back
Top Bottom