Danny Jully
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 4,416
- 3,860
Uko sawa mkuu, katiba haijavunjwa ni msimamo wake ndiyo umemponza.Assad hajastaafishwa. Amemaliza mkataba wake wa miaka mitano ambao haujaongezwa tena.
Rais ana prerogative ya kuongeza mkataba huo kwa miaka mitano mingine, au kutoongeza.
Magufuli kamtoa Assad kwa sababu Assad ni mtu wa msimamo.
Lakini, Magufuli hajamtoa Assad kinyume na katiba.