Assad hajastaafishwa. Amemaliza mkataba wake wa miaka mitano ambao haujaongezwa tena.

Rais ana prerogative ya kuongeza mkataba huo kwa miaka mitano mingine, au kutoongeza.

Magufuli kamtoa Assad kwa sababu Assad ni mtu wa msimamo.

Lakini, Magufuli hajamtoa Assad kinyume na katiba.
Uko sawa mkuu, katiba haijavunjwa ni msimamo wake ndiyo umemponza.
 
Tumtakie CAG Mstaafu, Prof. Mussa Assad kustaafu kwema na amestaafu kwa heshima na kwa mujibu wa sheria na sio kwa hoja zozote za vitatange na vibirifitina, jina lake litaandikwa kwenye kile kitabu cha mashujaa wa kweli wa taifa wetu kwasababu ameacha Legacy.

Karibu CAG Mpya, Charles Kicheere, tunakutakia kazi njema.
Paskali

Regime ndio ishakua ya kibwege tayari...hamna anae wakagua..nchi inakufa kiuchumi...

Bila strong CAG heshima ya kifedha haitakuwepo,one wrong move uchumi mzima unayeyuka kwa siku moja tu!

Dont make this mistake
 
Assad hajastaafishwa. Amemaliza mkataba wake wa miaka mitano ambao haujaongezwa tena.

Rais ana prerogative ya kuongeza mkataba huo kwa miaka mitano mingine, au kutoongeza.

Magufuli kamtoa Assad kwa sababu Assad ni mtu wa msimamo.

Lakini, Magufuli hajamtoa Assad kinyume na katiba.
Hij ndio point! Kwa nn hajaongezewa? Na sio kuvunjwa katiba
 
Assad hajastaafishwa. Amemaliza mkataba wake wa miaka mitano ambao haujaongezwa tena.

Rais ana prerogative ya kuongeza mkataba huo kwa miaka mitano mingine, au kutoongeza.

Magufuli kamtoa Assad kwa sababu Assad ni mtu wa msimamo.

Lakini, Magufuli hajamtoa Assad kinyume na katiba.
Mkuu pale inaposema and shall be eligible for renewal of on term only ina maana gani hasa hilo neno shall
 
Pongezi kubwa kwa Prof. Assad kwa utumishi uliotukuka, ijapokuwa weledi na maadili yako ulikuwa mwiba kwa wengine. Kwa hakika historia yako imeandikwa kwa wino wa dhahabu, ambapo si ajabu ukaaminiwa na IMF ama WB na kukabidhiwa nafasi mpya unayostahili.

Aidha, pongezi pia kwa CAG mteule, mtangulize Mola mbele kwa nafasi hii mpya ulioaminiwa na kukabidhiwa kwa maslahi mapana ya uzalendo na taifa letu, hilo ni kama zigo la misumari endapo utaweka maadili na weledi kando ili upate kufuraisha watu fulani, haswa kwa yale yenye makandokando mengi.
Nimependa wosia wako naamini atasoma post hii na kuuzingatia ushauri huu
 
Watanzania tuamke, Katiba ya mwak 1977 ina-limit mihula miwili ya miaka mitanomitano, ndiyo maana kabla ya hiyo katiba muda wao ulikuwa unabadilika.

Heb tupitie historia kidogo.
View attachment 1252969
View attachment 1252970
Yaani prof. Assad anavyochukiwa, hadi picha yake kwenye website (National Audit Office of Tanzania » The CAG) walishafuta kwenye orodha ya ma-CAG.

-Je, kafikisha miaka 60? (Mussa Juma ASSAD Born : 6 October 1961)
-Je, sheria ilibadilishwa lini kustaafishwa kabla ya miaka 60? (Mandatory retirement also known as enforced retirement or compulsory retirement)
-Je, anaumwa ama ametiwa hatiani na tume ya maadili?
-Je, Rais amefuata katiba inavyosema?

View attachment 1252957
View attachment 1252749
Fixed term of five years only! Ndiyo msumali ulipo hiyo sehemu ya pili ya sentensi hiyo ni discretion ya mwenye mamlaka ya uteuzi. Hapo hana jinsi aende akafanye shughuli nyingine na kesho CAG mpya anaapa!
 
Watanzania tuamke, Katiba ya mwak 1977 ina-limit mihula miwili ya miaka mitanomitano, ndiyo maana kabla ya hiyo katiba muda wao ulikuwa unabadilika.

Heb tupitie historia kidogo.
View attachment 1252969
View attachment 1252970
Yaani prof. Assad anavyochukiwa, hadi picha yake kwenye website (National Audit Office of Tanzania » The CAG) walishafuta kwenye orodha ya ma-CAG.

-Je, kafikisha miaka 60? (Mussa Juma ASSAD Born : 6 October 1961)
-Je, sheria ilibadilishwa lini kustaafishwa kabla ya miaka 60? (Mandatory retirement also known as enforced retirement or compulsory retirement)
-Je, anaumwa ama ametiwa hatiani na tume ya maadili?
-Je, Rais amefuata katiba inavyosema?

View attachment 1252957
View attachment 1252749
Aliyataka mwenyewe! Akaombe msaada kwa Zitto!
 
Mkuu pale inaposema and shall be eligible for renewal of on term only ina maana gani hasa hilo neno shall
Shall be eligible maana yake ni kwamba, kwanza kabisa neno "shall" ni neno linaloonesha ulazima, kwamba jambo hili halina mjadala, si ombi, ni amri.

Kwa hiyo kwanza kabisa sentensi inaanza na jambo la ulazima.

Eligible maana yake ni mtu mwenye sifa za kuweza kufanya kitu, kupata kazi fulani etc.

Kwa mfano. All MPs are eligible for cabinet positions. Being an MP is a prerequisite to being a cabinet minister. But not all MPs are cabinet ministers.

Eligibility carries potential.

All Tanzanians of majority age and good mental capacities, are eligible to vote, but that does not mean all these Tanzanians do vote.

Assad was eligible to be re-appointed.

But that does not mean it was a must for him to be re-appointed.

Magufuli is eligible to be president for a second term. But that does not mean he must bepresident for a second term.

Kuna tofauti kati ya "shall be eligible for renewal" na " shall be renewed".

This is a Technical Knock Out.

Zaidi, shall be eligible for renewal for one term only maana yake mwisho wa renewal ni term ya miaka mitano. Kwa maana ya jwamba baada ya miaka 10, anaondolewa hawezi kuwa renewed kwa mara ya pili.

Sasa, katiba ikimwambia rais kwamba huyu hatakiwi kuwa renewed zaidi ya mara moja, hilo halina maana ni lazima awe renewed.

Magufuli simpendi kwa mengi. Lakini hapa hakwenda kinyume na katiba.
 
Tumtakie CAG Mstaafu, Prof. Mussa Assad kustaafu kwema na amestaafu kwa heshima na kwa mujibu wa sheria na sio kwa hoja zozote za vitatange na vibirifitina, jina lake litaandikwa kwenye kile kitabu cha mashujaa wa kweli wa taifa wetu kwasababu ameacha Legacy.

Karibu CAG Mpya, Charles Kicheere, tunakutakia kazi njema.
Paskali
Mzee umeniwahi nilitaka kuandika hivi hivi kweli kabisaaaaaaa
Akiki yako inafanana na Mimi nami pia nimtakie kustaff kwema asee
 
Fixed term of five years only! Ndiyo msumali ulipo hiyo sehemu ya pili ya sentensi hiyo ni discretion ya mwenye mamlaka ya uteuzi. Hapo hana jinsi aende akafanye shughuli nyingine na kesho CAG mpya anaapa!
Hapo ulipoweka only umejichanganya, haiko hivyo
 
Back
Top Bottom