The Wolf
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,309
- 20,328
Kuna zaidi ya siku 10, Crowned Miss Tanzania hajafika huko Puerto Rico, wanzake wameshafika na wanaendelea na kambi kwa nini miss wetu hajafika mpaka muda huu?simply hawaelewani na uongozi wanaondaa hili tamasha
Nashauri serikali iunde taasisi huru, inayojitegema kwa ajili ya kuandaa tuzo hii, wenzetu wanapeleka hadi majasusi kushiriki masuala ya urembo leo hii tunakuja kuhujumiwa na kikampuni uchwara, ambacho issue personal zinaathiri maslahi ya nchi kimataifa
BASATA wanatakiwa waipige ban hii kampuni tena la maisha wasikae waandae tena.
Nashauri serikali iunde taasisi huru, inayojitegema kwa ajili ya kuandaa tuzo hii, wenzetu wanapeleka hadi majasusi kushiriki masuala ya urembo leo hii tunakuja kuhujumiwa na kikampuni uchwara, ambacho issue personal zinaathiri maslahi ya nchi kimataifa
BASATA wanatakiwa waipige ban hii kampuni tena la maisha wasikae waandae tena.