Mjadala na propoganda ya mishahara kwa watumishi wa umma inakuzwa mno na Wapinzani kama mtaji wao kwenye kampeni hizi bila kuzingatia hatua zilizochukuliwa na Serikali ya awamu ya tano kuhusu uboreshaji wa maslahi kwa Watumishi wa Umma. Ieleweke kuwa mishahara ni sehemu tu ya maslahi katika utumishi wa umma.
Wapinzani wanasahau upandishwaji madaraja yanayoendana na mabadiliko ya mishahara, pia mabadiliko mapya ya posho mbalimbali zilizoongezeka, kupungua kwa Paye kutoka asilimia 11 hadi 9 na mengineyo mengi ambayo kimsingi yametumia fedha za umma na fedha za walipa kodi.
Tunapojadili mishahara tuzungumze kwa kujumuisha maslahi yote tutaeleweka tusibague manufaa mengine.
Wapinzani wanasahau upandishwaji madaraja yanayoendana na mabadiliko ya mishahara, pia mabadiliko mapya ya posho mbalimbali zilizoongezeka, kupungua kwa Paye kutoka asilimia 11 hadi 9 na mengineyo mengi ambayo kimsingi yametumia fedha za umma na fedha za walipa kodi.
Tunapojadili mishahara tuzungumze kwa kujumuisha maslahi yote tutaeleweka tusibague manufaa mengine.