Suala la Mbowe nilifikiri mtaani kutachimbika ila naona watu wamesusa

Hilo unalosema liliwezekana enzi za sheikh Ponda kipindi cha Sensa. Waislamu walikinukisha akaachiwa chap. Maisha magumu, watu hawawezi kujiongezea shida zisizo na ulazima. Kila mtu ashinde kwao.

Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app
 
Habar zenu ndugu, jamaa na marafiki mliopo humu..

Ndugu zangu baada ya kupokea taarifa ya kukamatwa kwa mwenyekigoda wa chama fulani, wengi wetu tulijua sasa kutachimbika.

Mfano mimi binafsi nilijua viongozi wa chama chake wangewaongoza wafuasi wao nchi nzima wafanye mgomo wa kula, kunywa, kutoka nje, kuoga nk ili kuishinikiza mamlaka iamue vinginevyo kuhusu mwenyekigoda wao. Lkn kwa bahati mbaya tulichokuwa au nilichokuwa nafikiria imekuwa tofauti.

Watu wanajiachia mitaani kama kawa, shughuli za kila siku zinaendelea, nyama zinachomwa na kuliwa mitaani kama kawa, vyakula vinaliwa mitaan na majumban kama kawa, pombe zinanyweka, na baa zinajaa kama vile hakuna kilichotokea kwa kiongozi mwenye hadhi kubwa kama yake.

Napata shaka kuwa huenda kuna mkono na msukumo wa watu kutoka ndan ya chama chake kuhusiana na swala hili.

Chukulia kauli ya kususwa asiwekewe dhamana nk. Waswahili wanasema siku zote "Kikulacho ki nguoni mwako".

Pole bwana Abubakar... hii ndo dunia.
Naona Leo mmevamia jukwaaa kwa kasi kubwa na agenda ni moja tu
 
Naona Leo mmevamia jukwaaa kwa kasi kubwa na agenda ni moja tu
Kama jinsi nyinyi mlivyovamia wakati wa Sabaya. Mkuki kwa nguruwe, ila kwa binadam mchungu. Kuna msemo unaosema "kutesa kwa zamu" kwahiyo zam yenu ya kutesa iliishi kipindi cha Sabaya na maisha yakaendelea. Sasa zam yetu utulie hivyo hivyo kama unaesikilizia kitu kigumu kule chini.
 
Ukitaka kujua upuuzi wa wanasiasa wa Tanzania hasa wale wanajiita wanachama damu wa CHADEMA ni kwenye vipindi kama hivi.

Yaani hata wao hawaonekani barabarani, ila kwa kujitoa mhanga kwenye mitandao wapo full 😁!.

Now ndiyo walipaswa tuwaone umoja na mshikamano wao kwa great chairman wao, makamu mwenyekiti katoa tamko ila mwisho wa siku ni blue print!.
 
Mama kawafanyia ubinadamu kuagiza haki na kufutwa kesi za kubambikiwa ninyi mkaanza kumtukana na kumdharau hata kudiriki kutamka " mwambieni yule Mama tutamnyoa". Tuliwaonea sana huruma kipindi kile mnapitia magumu na mateso lakini sasa kumbe ndio mlikuwa mna enjoy?
Kwa hiyo nyie maccm ndo mko vizuri, tozo na uchumi wa maisha haviwahusu
 
Ukitaka kujua upuuzi wa wanasiasa wa Tanzania hasa wale wanajiita wanachama damu wa CHADEMA ni kwenye vipindi kama hivi.

Yaani hata wao hawaonekani barabarani, ila kwa kujitoa mhanga kwenye mitandao wapo full !.

Now ndiyo walipaswa tuwaone umoja na mshikamano wao kwa great chairman wao, makamu mwenyekiti katoa tamko ila mwisho wa siku ni blue print!.
Makamu mwenyekiti katoa tamko akiwa ughaibuni ana zisakisia Nyumbu huku Serengeti,
Bahati nzuri wote wameshtuka hawavuki tena, hakuna Nyumbu mjinga Tena siku hizi,
 
Ukitaka kujua upuuzi wa wanasiasa wa Tanzania hasa wale wanajiita wanachama damu wa CHADEMA ni kwenye vipindi kama hivi.

Yaani hata wao hawaonekani barabarani, ila kwa kujitoa mhanga kwenye mitandao wapo full 😁!.

Now ndiyo walipaswa tuwaone umoja na mshikamano wao kwa great chairman wao, makamu mwenyekiti katoa tamko ila mwisho wa siku ni blue print!.
Ok hivyo hivyo kea wasio wapinzani yaani tozo mara mbli alafu kuna watu wamechota mihela BOT wapo mtaani wanadunda , alafu watu wajinga
Watu kama wewe mnakenua
 
Ni sisi wapinzani wenyewe tutaweza kujitetea, kwa sasa ccm wamepoteza ushawishi kwa umma, hivyo wamejihika na vyombo vya dola ili kuendelea kututawala kwa shuruti. Namna pekee ni sisi wapinzani kugoma kushirikiana na wanaccm.

Hakina kushiriki msiba wala sherehe ama hafla yoyote ya mwanaccm, hakuna kununua chochote kwenye biashara ya mwanaccm ama hata kupakia vyombo vyao vya usafiri labda iwe lazima sana. Tusiogope kuhamashana kwenye hili. Kwa vyovyote mbinu hii itamgusa kila mtanzania. Kwenye nyumba za ibada hakuna kutoa sadaka, na kuwaambia viongozi wa dini wanakalia kimya uovu. Mbinu hii haitatuacha na vilema wala kubambikiwa kesi, kutekwa ama kuuwawa. Mbinu hii ilitumiwa Zanzibar na ilifanya kazi. Madai ya katiba mpya ni ya halali, kwani wezi wa kura wasio na ushawishi waendelee kututesa na kutimiza kwa madai yetu halali. Ni juu yetu wapinzani kujiokoa.
Kweli??
 
Kushiriki siasa si kuwa na akili ndogo, si kila uambiwacho na viongozi wa kisiasa utekereze, Kuna yanaowahusu wao inabidi wayamalize wao, Sisi hatukumtuma huyo jamaa yenu ajihusishe na mambo magumu kama hayo, ayamalize yeye!!
 
Nyumbu tu, kwani watu 6m ambao inasemekana kuwa ndiyo wana CDM kat ya watu 60ml wp na wp, hapa kijijini Kwetu wanachama wa CDM hawazidi 10,kwanza mm sitaki hata wake kwangu, Tena hata hiyo 6m nadhani ni no ya kughushi t, Mianzisha Hilo nyie ndiyo mtakae umia,
Pia nikukumbushe we jamaa kuwa unavyo ongelea CDM unaongelea mikoa ya Mara, Arusha, Kilmanjaro, na Mbeya peke yake, na hiyo mikoa unaongelea sehemu za mijini tuuu, huko vijijini watu hawajui habari za Cdm

Mie sio muumini wa siasa za vyama. Ninaamini katika hoja na hata ninao mwana umefunguka kuzungumzia vitu vilivo na akili zilizopitwa na umri wako! Kwani kukiwa na wanacha 10 na mwingine ana milioni 10 - hoja ni nini? Kuwa wale 10 wanalipa kodi kubwa zaidi? Au nyumba zao zina mabomba ya maji au wanatibiwa bure??

Mkuu, inua kiwango cha ufahamu - la sivo utakuwa kazi yako kupigia vigelegele wanaume wenzio!
 
Back
Top Bottom