Suala la Mbowe nilifikiri mtaani kutachimbika ila naona watu wamesusa

Mama kawafanyia ubinadamu kuagiza haki na kufutwa kesi za kubambikiwa ninyi mkaanza kumtukana na kumdharau hata kudiriki kutamka " mwambieni yule Mama tutamnyoa". Tuliwaonea sana huruma kipindi kile mnapitia magumu na mateso lakini sasa kumbe ndio mlikuwa mna enjoy?
 
Hio gharama za kumkamata Mbowe si wangepeleka kijiji chochote ikanunue madawati
 
Mama kawafanyia ubinadamu kuagiza haki na kufutwa kesi za kubambikiwa ninyi mkaanza kumtukana na kumdharau hata kudiriki kutamka " mwambieni yule Mama tutamnyoa". Tuliwaonea sana huruma kipindi kile mnapitia magumu na mateso lakini sasa kumbe ndio mlikuwa mna enjoy?
Hawana Jema Hawa wajinga, Rais wa nchi unamwambia utamnyolea wembe uliye mnyolea mwenzake, Tena washukuru ni mama , aisee mm niwe Rais then mtu aniambie hivyo hakika Leo hii angekuwa Kesha nionyesha ule wembe,
Shida wengi wa sakos Ile n tumbaku kwa sana hakuna mzima, mm nadhani kwenye katiba yao ili uwe mwanachama lazima ujue kupuliza Ile tumbaku kubwa.
 
Ni sisi wapinzani wenyewe tutaweza kujitetea, kwa sasa ccm wamepoteza ushawishi kwa umma, hivyo wamejihika na vyombo vya dola ili kuendelea kututawala kwa shuruti. Namna pekee ni sisi wapinzani kugoma kushirikiana na wanaccm.

Hakina kushiriki msiba wala sherehe ama hafla yoyote ya mwanaccm, hakuna kununua chochote kwenye biashara ya mwanaccm ama hata kupakia vyombo vyao vya usafiri labda iwe lazima sana. Tusiogope kuhamashana kwenye hili. Kwa vyovyote mbinu hii itamgusa kila mtanzania. Kwenye nyumba za ibada hakuna kutoa sadaka, na kuwaambia viongozi wa dini wanakalia kimya uovu. Mbinu hii haitatuacha na vilema wala kubambikiwa kesi, kutekwa ama kuuwawa. Mbinu hii ilitumiwa Zanzibar na ilifanya kazi. Madai ya katiba mpya ni ya halali, kwani wezi wa kura wasio na ushawishi waendelee kututesa na kutimiza kwa madai yetu halali. Ni juu yetu wapinzani kujiokoa.
Masoko na petrol stations 90% ni za wana CCM , vinywaji na internet service provider zote ni za sana CCM sijui una maanisha nini?
 
Habar zenu ndugu, jamaa na marafiki mliopo humu..

Ndugu zangu baada ya kupokea taarifa ya kukamatwa kwa mwenyekigoda wa chama fulani, wengi wetu tulijua sasa kutachimbika.

Mfano mimi binafsi nilijua viongozi wa chama chake wangewaongoza wafuasi wao nchi nzima wafanye mgomo wa kula, kunywa, kutoka nje, kuoga nk ili kuishinikiza mamlaka iamue vinginevyo kuhusu mwenyekigoda wao. Lkn kwa bahati mbaya tulichokuwa au nilichokuwa nafikiria imekuwa tofauti.

Watu wanajiachia mitaani kama kawa, shughuli za kila siku zinaendelea, nyama zinachomwa na kuliwa mitaani kama kawa, vyakula vinaliwa mitaan na majumban kama kawa, pombe zinanyweka, na baa zinajaa kama vile hakuna kilichotokea kwa kiongozi mwenye hadhi kubwa kama yake.

Napata shaka kuwa huenda kuna mkono na msukumo wa watu kutoka ndan ya chama chake kuhusiana na swala hili.

Chukulia kauli ya kususwa asiwekewe dhamana nk. Waswahili wanasema siku zote "Kikulacho ki nguoni mwako".

Pole bwana Abubakar... hii ndo dunia.
Wamewakataa.....

Watanzania wamewakataa....

Hebu waangalie watu Hawa....

1)Lema
2)Mbowe
3)Lissu

HAKUNA MTANZANIA makini ataingizwa BARABARANI na watu hao......

Wamesuswa...
Wamekataliwa....

#KaziIendelee
#UtulivuKwanza
 
Nyumbu tu, kwani watu 6m ambao inasemekana kuwa ndiyo wana CDM kat ya watu 60ml wp na wp, hapa kijijini Kwetu wanachama wa CDM hawazidi 10,kwanza mm sitaki hata wake kwangu, Tena hata hiyo 6m nadhani ni no ya kughushi t, Mianzisha Hilo nyie ndiyo mtakae umia,
Pia nikukumbushe we jamaa kuwa unavyo ongelea CDM unaongelea mikoa ya Mara, Arusha, Kilmanjaro, na Mbeya peke yake, na hiyo mikoa unaongelea sehemu za mijini tuuu, huko vijijini watu hawajui habari za Cdm
Ila hao 10 ndo wenye akiri kuliko kijiji kizima ukiwemo wewe.

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Mnataka kupandikiza mbegu ya chuki kwenye nchi yetu? Yote hayo ni kwa ajili ya mbowe kua ndani? Mbona Sabaya mlishangilia kua ndani? Ina maana magereza ni kwa wana ccm tu?
Eleza kitu kibaya alichofanya mbowe, nadhani huna hata 1, ila ona watu walivyolia jinzi Gaidi sabaya alivyo haribu na kuiba Mali zao.

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Reputation ya nchi wenye mambo ya utawala bora inaharibika kwenye macho ya kimataifa.
 
Masoko na petrol stations 90% ni za wana CCM , vinywaji na internet service provider zote ni za sana CCM sijui una maanisha nini?

Tutaenda kwenye 10% ambazo sio za wanaccm. Na kwakuwa misiba na sherehe 90% ni ya wanaccm, itatusaidia kutokupoteza muda kuhudhuria misiba na sherehe zao.
 
Ni sisi wapinzani wenyewe tutaweza kujitetea, kwa sasa ccm wamepoteza ushawishi kwa umma, hivyo wamejihika na vyombo vya dola ili kuendelea kututawala kwa shuruti. Namna pekee ni sisi wapinzani kugoma kushirikiana na wanaccm.

Hakina kushiriki msiba wala sherehe ama hafla yoyote ya mwanaccm, hakuna kununua chochote kwenye biashara ya mwanaccm ama hata kupakia vyombo vyao vya usafiri labda iwe lazima sana. Tusiogope kuhamashana kwenye hili. Kwa vyovyote mbinu hii itamgusa kila mtanzania. Kwenye nyumba za ibada hakuna kutoa sadaka, na kuwaambia viongozi wa dini wanakalia kimya uovu. Mbinu hii haitatuacha na vilema wala kubambikiwa kesi, kutekwa ama kuuwawa. Mbinu hii ilitumiwa Zanzibar na ilifanya kazi. Madai ya katiba mpya ni ya halali, kwani wezi wa kura wasio na ushawishi waendelee kututesa na kutimiza kwa madai yetu halali. Ni juu yetu wapinzani kujiokoa.
Lile la kuisusia Vodacom ilishia wapi? ifike wakati tukubali uhalisia tuache kujifurahisha humu.
 
Lile la kuisusia Vodacom ilishia wapi? ifike wakati tukubali uhalisia tuache kujifurahisha humu.

Kila mbinu inatumika na hao Vodacom wanajua uwepo wetu. Wanajua fika hatukubali kuburuzwa kama makondoo wengine wa nchi. Uhalisia ndio huo wa kura za kwenye mabeg meusi?
 
Back
Top Bottom