mngony
JF-Expert Member
- Jul 27, 2012
- 5,193
- 6,381
Mama kawafanyia ubinadamu kuagiza haki na kufutwa kesi za kubambikiwa ninyi mkaanza kumtukana na kumdharau hata kudiriki kutamka " mwambieni yule Mama tutamnyoa". Tuliwaonea sana huruma kipindi kile mnapitia magumu na mateso lakini sasa kumbe ndio mlikuwa mna enjoy?