Suala la Magufuli ni VITA YA URAIS 2015!

Kama amabvyo Dr Magufuli alivyowachunganya watu katika hifadhi za barabara ndivyo anavyotaka kuwachunganya katika vivuko; ni lazima ijulikane gharama ya kila kivuko kulingana na muda unaotumika. Huwezi bei ya kivuko kinachotumia dakika 30 kutoka upande mmoja hadi mwingine na hiki cha Kigamboni kinachotumia dakika 3 au 4 hivi. Huu ni ubabe wa Dr Magufulki akam alivyozoea.

Umnedaqi huko nyuma Waziri MKuu alimzima ilikuw amuhimu sana kumzima kwa sababu zifuatazo:-

Nani asiyejua kuwa kati ya 1970 na 80 Tanzania chini ya Mwalimu Nyerere ilitekeleza sera ya vijiji vya ujamaa kwa kuwahamisha kwa nguvu watu toka katika makzi na mashamba yao na kuwahamishia katika vijiji vipya vua ujamaa vilivyoanzishwa. Katika utekelzaji wake Serikali ilifiukia hatua ya kuwachomeaq nyumba wananchi waliokataa kuhamishwa kuacha makzi na mashamba yao. Nyumba na mashamba vilichomwa moto, mashamba kutelekezwa ili mradi watu wahamie vijiji vy ujamaa.

Katika mikoa mbali mbali vijiji vya ujamaa vilianzishwa kando kando ya barabara kuu za nch; katika Jimbo la Ubungo baadhi ya vijiji hivyo ni pamoja na vijiji vya ujamaa vya Kimara, Temboni, Mbezi, Kibamba, na Kiruvia vilivyoanzishwa kando kando ya barabara ya Morogoro ambapo wananchi waligawiwa ardhi na serikali toka pembezoni kabisa na barabara. Wakati wa ugawaji huo wa ardhi hapakuwepo kitu nkama hifadhi ya barabara. Kuthibitisha hilo, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliwapatia hati za kumiliki ardhi za miaka 99 baadhi ya wananchi waliohamishiwa katika vijiji hivi au kupata ardhi ya kuishi na kulima katika vijiji hivi.

Mwaka 1999 Tanzania ilipitisha Sheria ya ardhi ya vijiji namba 4 na 5 za 1999, Kifungu cha 15 cha Sheria ya ardhi ya vijiji nmba 5 ya 199 ikinatamka kuwa "Ugawaji wa ardhi uliofanywa kwa mtu au kundi la watu waishio au waliotakiwa kuhamia na kuishi katika kijiji wakati wowote kati ya tarehe 01 Januari 1970 na tarehe 31 Desemba 1977, kama ugawaji huo ulifanywa kwa mujibu wa sheria au kinyume cha sheria au bila kuzingatia sheria yoyote, sasa inathibitishwa kuwa ugawaji huo ni halali na kwamba daima ni wenye nguvu ya kutoa haki na wajibu kwa kisheria kwa kundi la watu waliogawiwa ardhi hiyo......

Aidha kifungu cha 16 kinatamka kuwa "Kwa madhumuni ya kuepusha mashaka na ili kuwezesha kuwapo kwa usalama wa miliki ya ardhi na hivyo kuchangia maendeleo ya ardhi ya kijiji, masharti ya Kifungu cha 15 yatatumika kila mara ugawaji wa ardhi ya kijiji ulipofanywa na Halmashauri ya Kijiji au mamlaka nyingine yoyote mnamo na baada ya tarehe 01 Januari 1978 hadi tarehe ya kuanza kutumika kwa sheria hii na kwamba badala ya tarehe zilizotajwa katika kifungu cha 15, kumewekwa tarehe kati ya tarehe 01 Januari 1978 na tarehe ya sheria hii kuanza kutumika".

Vilevile Sheria ya barabara ya Morogoro ya 1967 inatambua kuwa eneo la hifadhi ya barabara kuu hapa nchini ni Mita 22.5 kila upande kutoka katik ati ya barabara. Aidha Sheria ya barabara namba 13 ya 2007 iliongeza eneo hilo kufikia Mita 30 ikimaanisha wananchi wana haki ya kulipwa fidia kwa ardhi ilyoongezwa kuwa hifadhi ya barabara.

Aidha Kanuni za barabara za sheria hiyo zilizopitishwa mwaka 2009 zinztamka kuwa upana wa njia moja ya barabara (lane) kwa barabara zote kuu hapa nchni hautapungua Mita 3.25. Hivyo upana wa hifadhi ya barabara wa Mita 30 unao uwezo wa kuzalisha njia za barabara mpya Mita 30 gawanya kwa Mita 3.25= 9.2. Hivyo eneo halali la hifadhi ya barabara hapa nchini linao uwezo wa kuzalisha njia 18, yaani 9.2 kila upande katika barabara ya Morogoro kabala Dr Magufuli hajawafikia wananchi walioko nje ya Mita 30 kila upande.

Lakini kutokana na dharau kwa maisha ya binadamu na ubabe huku akifahamu kuwepo kwa sheria iliyotajwa hapo inayolinda ardhi ya wananchi waliokuwa wakiishi katika vijiji vya Kimara, Mbezi, Kibamba na Kiruvia (alikuwa mmoja wa wabunge na naibu waziri wakati sheria ya ardhi ikipitishwa mwaka 1999); mwaka 2001 wakati wa ukarabati mkubwa wa barabara ya Morogoro alimuagiza mkandarasi aitwaye Scabphil Colas kuingia ndani ya ardhi na makazi ya wananchi Mita 30 hadi 120 toka katika ya barabara kupiga nyumba hizo alama ya X, kupanda mawe na mabango yanayoonyesha mwisho wa hifadhi ya barabara.

Toka mwaka 2001 wananchi wa maeneo haya wamekuwa wakiishi kama wako uhamishoni kwa kushindwa kutumia ardhi yao kujiletea maendeleo na kujipunguzia umaskini. Ndio maana katia ya Ubungo na Kibaha huwezi kupata huduma zozote muhimu kama vile mabenki, ATM, Supermarket n.k.

Ili kuonyesha naman Dr Magufuli anavypoweza kutumia madaraka yake vibaya, alipoyeuliwa tena kushika wadhifa huo 2010/11 aliigiza TANROAD kuwelea alama za X nyumba zote zilizoko ndani na nje ya eneo halali la hifadhi ya barabara yaano ndani na nje ya Mita 30 hadi Miata 120; aidha mara kwa mara amekuwa akidai kuwa uwepo wa nyumba chanzo cha msongamano wa magari katika barabara hiyo. Hali ukweli ni kuwa zipo nyumba chache sana katika eneo halali la hifadhi ya barabara la Mita 30 kila upande wa barabara. Je kabala Dr Magufuli hajawabomolea watu walioko kati ya Mita 30 hadi 120 ameshajenga njia ngapi katika eneo halali la hifadhi ya barabara lenye uwezo wa kubeba njia mpya 18? Haya kama sio matumizi mabaya ya madaraka swa na kuwataka wananchi kupiga mbizi ni nini hasa?

Mara kwa mara Dr Magufuli maekaririwa akidai kuwa nyumbazote zilizowekewaalama ya X zilizondani na nje ya eneo halali la hifadhi ya barabara zitzbomolewa pasiupo fidia yoyote kwa madaia kuwalipa fidia ni kuitia hasara serikali. Sasa hawa wananchi ambao walichomewa nyumba zao na kuhamishiwa katika vijijivya ujamaa kanda kandao ya barabara ya Morogoro wana makosa gani; kama kweli walivamia eneo hilo mbona Serikali anayoitumika imekuwa ikiwapatia hati miliki?

Kama kweli Dr Magufulia ana uchungu na kupotea kwa fedha za serikali alipaswa kuwa maeshajiuzuru zamani kwani amekuwepo katika mabaraza ya mawaziri ambayo yamehusika na upotevu mkubwa sana wa fedha za watanzania k.m IPTL, EPA, MEREMETA, TANGOLD, RADA, RICHMOND, DOWANS n.k
 
Tatizo Magufuli alitegwa naye akategeka, lawama juu yake mpaka pale atakapoomba radhi kwa kauli ya kukera aliyoitoa. Kama ishu ni urais, bado anayo nafasi ya kujijenga na kujirekebisha kasoro ndogo ndogo alizonazo..!

NANI KASEMA MBABE KAMA HUYU ANA KASORO NDOGO NDOGO SUBIRI HADI YAKUKUTE NDIO UTAJUA
Kama amabvyo Dr Magufuli alivyowachunganya watu katika hifadhi za barabara ndivyo anavyotaka kuwachunganya katika vivuko; ni lazima ijulikane gharama ya kila kivuko kulingana na muda unaotumika. Huwezi bei ya kivuko kinachotumia dakika 30 kutoka upande mmoja hadi mwingine na hiki cha Kigamboni kinachotumia dakika 3 au 4 hivi. Huu ni ubabe wa Dr Magufulki akam alivyozoea.

Umnedaqi huko nyuma Waziri MKuu alimzima ilikuw amuhimu sana kumzima kwa sababu zifuatazo:-

Nani asiyejua kuwa kati ya 1970 na 80 Tanzania chini ya Mwalimu Nyerere ilitekeleza sera ya vijiji vya ujamaa kwa kuwahamisha kwa nguvu watu toka katika makzi na mashamba yao na kuwahamishia katika vijiji vipya vua ujamaa vilivyoanzishwa. Katika utekelzaji wake Serikali ilifiukia hatua ya kuwachomeaq nyumba wananchi waliokataa kuhamishwa kuacha makzi na mashamba yao. Nyumba na mashamba vilichomwa moto, mashamba kutelekezwa ili mradi watu wahamie vijiji vy ujamaa.

Katika mikoa mbali mbali vijiji vya ujamaa vilianzishwa kando kando ya barabara kuu za nch; katika Jimbo la Ubungo baadhi ya vijiji hivyo ni pamoja na vijiji vya ujamaa vya Kimara, Temboni, Mbezi, Kibamba, na Kiruvia vilivyoanzishwa kando kando ya barabara ya Morogoro ambapo wananchi waligawiwa ardhi na serikali toka pembezoni kabisa na barabara. Wakati wa ugawaji huo wa ardhi hapakuwepo kitu nkama hifadhi ya barabara. Kuthibitisha hilo, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliwapatia hati za kumiliki ardhi za miaka 99 baadhi ya wananchi waliohamishiwa katika vijiji hivi au kupata ardhi ya kuishi na kulima katika vijiji hivi.

Mwaka 1999 Tanzania ilipitisha Sheria ya ardhi ya vijiji namba 4 na 5 za 1999, Kifungu cha 15 cha Sheria ya ardhi ya vijiji nmba 5 ya 199 ikinatamka kuwa "Ugawaji wa ardhi uliofanywa kwa mtu au kundi la watu waishio au waliotakiwa kuhamia na kuishi katika kijiji wakati wowote kati ya tarehe 01 Januari 1970 na tarehe 31 Desemba 1977, kama ugawaji huo ulifanywa kwa mujibu wa sheria au kinyume cha sheria au bila kuzingatia sheria yoyote, sasa inathibitishwa kuwa ugawaji huo ni halali na kwamba daima ni wenye nguvu ya kutoa haki na wajibu kwa kisheria kwa kundi la watu waliogawiwa ardhi hiyo......

Aidha kifungu cha 16 kinatamka kuwa "Kwa madhumuni ya kuepusha mashaka na ili kuwezesha kuwapo kwa usalama wa miliki ya ardhi na hivyo kuchangia maendeleo ya ardhi ya kijiji, masharti ya Kifungu cha 15 yatatumika kila mara ugawaji wa ardhi ya kijiji ulipofanywa na Halmashauri ya Kijiji au mamlaka nyingine yoyote mnamo na baada ya tarehe 01 Januari 1978 hadi tarehe ya kuanza kutumika kwa sheria hii na kwamba badala ya tarehe zilizotajwa katika kifungu cha 15, kumewekwa tarehe kati ya tarehe 01 Januari 1978 na tarehe ya sheria hii kuanza kutumika".

Vilevile Sheria ya barabara ya Morogoro ya 1967 inatambua kuwa eneo la hifadhi ya barabara kuu hapa nchini ni Mita 22.5 kila upande kutoka katik ati ya barabara. Aidha Sheria ya barabara namba 13 ya 2007 iliongeza eneo hilo kufikia Mita 30 ikimaanisha wananchi wana haki ya kulipwa fidia kwa ardhi ilyoongezwa kuwa hifadhi ya barabara.

Aidha Kanuni za barabara za sheria hiyo zilizopitishwa mwaka 2009 zinztamka kuwa upana wa njia moja ya barabara (lane) kwa barabara zote kuu hapa nchni hautapungua Mita 3.25. Hivyo upana wa hifadhi ya barabara wa Mita 30 unao uwezo wa kuzalisha njia za barabara mpya Mita 30 gawanya kwa Mita 3.25= 9.2. Hivyo eneo halali la hifadhi ya barabara hapa nchini linao uwezo wa kuzalisha njia 18, yaani 9.2 kila upande katika barabara ya Morogoro kabala Dr Magufuli hajawafikia wananchi walioko nje ya Mita 30 kila upande.

Lakini kutokana na dharau kwa maisha ya binadamu na ubabe huku akifahamu kuwepo kwa sheria iliyotajwa hapo inayolinda ardhi ya wananchi waliokuwa wakiishi katika vijiji vya Kimara, Mbezi, Kibamba na Kiruvia (alikuwa mmoja wa wabunge na naibu waziri wakati sheria ya ardhi ikipitishwa mwaka 1999); mwaka 2001 wakati wa ukarabati mkubwa wa barabara ya Morogoro alimuagiza mkandarasi aitwaye Scabphil Colas kuingia ndani ya ardhi na makazi ya wananchi Mita 30 hadi 120 toka katika ya barabara kupiga nyumba hizo alama ya X, kupanda mawe na mabango yanayoonyesha mwisho wa hifadhi ya barabara.

Toka mwaka 2001 wananchi wa maeneo haya wamekuwa wakiishi kama wako uhamishoni kwa kushindwa kutumia ardhi yao kujiletea maendeleo na kujipunguzia umaskini. Ndio maana katia ya Ubungo na Kibaha huwezi kupata huduma zozote muhimu kama vile mabenki, ATM, Supermarket n.k.

Ili kuonyesha naman Dr Magufuli anavypoweza kutumia madaraka yake vibaya, alipoyeuliwa tena kushika wadhifa huo 2010/11 aliigiza TANROAD kuwelea alama za X nyumba zote zilizoko ndani na nje ya eneo halali la hifadhi ya barabara yaano ndani na nje ya Mita 30 hadi Miata 120; aidha mara kwa mara amekuwa akidai kuwa uwepo wa nyumba chanzo cha msongamano wa magari katika barabara hiyo. Hali ukweli ni kuwa zipo nyumba chache sana katika eneo halali la hifadhi ya barabara la Mita 30 kila upande wa barabara. Je kabala Dr Magufuli hajawabomolea watu walioko kati ya Mita 30 hadi 120 ameshajenga njia ngapi katika eneo halali la hifadhi ya barabara lenye uwezo wa kubeba njia mpya 18? Haya kama sio matumizi mabaya ya madaraka swa na kuwataka wananchi kupiga mbizi ni nini hasa?

Mara kwa mara Dr Magufuli maekaririwa akidai kuwa nyumbazote zilizowekewaalama ya X zilizondani na nje ya eneo halali la hifadhi ya barabara zitzbomolewa pasiupo fidia yoyote kwa madaia kuwalipa fidia ni kuitia hasara serikali. Sasa hawa wananchi ambao walichomewa nyumba zao na kuhamishiwa katika vijijivya ujamaa kanda kandao ya barabara ya Morogoro wana makosa gani; kama kweli walivamia eneo hilo mbona Serikali anayoitumika imekuwa ikiwapatia hati miliki?

Kama kweli Dr Magufulia ana uchungu na kupotea kwa fedha za serikali alipaswa kuwa maeshajiuzuru zamani kwani amekuwepo katika mabaraza ya mawaziri ambayo yamehusika na upotevu mkubwa sana wa fedha za watanzania k.m IPTL, EPA, MEREMETA, TANGOLD, RADA, RICHMOND, DOWANS n.k
 
Wewe ulitaka wabunge wakae kimya? nani angewaelewa ! hao ndio WANA DAR ES SALAAM! wazawa wa Dar wenye uchungu na watu wao!

Mbona mnataja Tsh 200 tu ? mbona hamtaji tozo nyingine,

Guta ni usafiri unaomuwezesha mwanajamii wa kipato cha chini kabisa kuweza kuvusha mizigo yake kutoka dar kwenda Kigamboni kutoka tsh 300 mpaka 1,800 mbona mmekazania tsh 200 tu ?
GAri ndogo kutoka tsh 800 mpaka 1,500
Gari station wagon , pickup na nyingine kubwa kutoka tsh 1,000 mpaka tsh 2,000
Kilichonishangaza jamani ! looh nahema ! ETI MZIGO WA KILO 50 nao ulipiwe TSH 500 hii mmeona wapi jamani! nyie msidhani watu wa Kigamboni wanalalama na hako kanauli ka tsh 200 kuna mengi yanayowaumiza ! na hapo hapo msidhani yeye anatoka tu nyumbani moja kwa moja anapanda kivuko! mfikirie mtu anaetokea Mbutu , Mwasonga ! Pona Gezaulole na Kwengineko! anakuja pale na Basi kwa nauli mpaka afike pale ni tsh 800 apande kivuko tsh 200 tayari 1,000 jamani msiseme tu kwa sababu nyie hayawagusi!
NA kumbukeni wana kigamboni hawapingi nauli kupanda , ila washirikishwe na zipande kuendeana na kipato cha mtu ! sio kupandishwa kiholela tu mradi tu mwendawazimu fulani amelala usiku akaamka akaamua kupandisha ! kama serikali yetu itakuwa na akili hizi nadhani tutarajie mengi kipindi kijacho!
Halafu wananchi wanapandishiwa gharama za kuvuko eti kwa sababu gharama za uendeshaji zimepanda, mbona mkula anachukua magari 30 hadi 40 na posho za watumishi kila wiki kwenda kutazama mbuzi wake huko Msoga. Fedha hizi sizingeweza kusiadi kupunguza gharama hizi/
 
mimi nilijua hilo mapema
wabunge wamenunuliwa ili kuchochea....
eti nauli isipande kwa miaka 14 waandamane
mbona daladala kila mwaka zinapanda hawaandamani???????

mtoa mada,hata jk ashawai kuzomewa,waliomzomea ni sample tu ya wana'kigambon,hebu sema hao watu wamepelekwa au kufadhiliwa na nani?mbona uchambuz wako unachagiza kuwa anahujumiwa?suasa la kujibu kwa nyodo ni sera ya watawala wa tz,kuanzia jk,pinda,sita,ngeleja,chela,mramba,makamba na wengineo,
Jk alipowajibu hovyo TUCTA alikua amezomewa?
 
Wakuu heshima kwenu,

unatakiwa kutumia akili kidogo kubaini suala la Dr Magufuli linakuzwa na kutumiwa na wapinzani wake wakubwa kisiasa kummaliza kabla ya mwaka 2015.Wabunge wa Dar wameshadadia utadhani ni jambo la maana nauli haijapanda kwa zaidi ya miaka kumi na nne hawalioni.Nauli za daladala zimepanda,nauli za mabasi yaendayo mikoani zimepanda,bei za bidhaa mbali mbali zinapanda kila kukicha ongezeko la tsh 100 inakuwa nongwa.Mbona hamkuandamana mlipoambiwa ndege ya Rais lazima inunuliwe ikibidi mtakula majani ?.

hivi nauli ya GuTA unaijua?kutoka na kwenda kigambon?umekazana na sh mia tu,acha uzuzu
 
magufuli arudishe nyumba za serikali alizoiba..
anatembea ndani ya vx,kwake mia mbili ndogo lakini kwa wananchi ni kubwa
magufuli rais??give me a break

Acha unafiki wewe, magufuri ana haki ya kuwaambia ukweli wananchi hata kama ni mchungu, tumechoka na viongozi legelege mfano wa mbwa wasiobweka, Jk aliahidi ahadi rundo ikiwemo ahadi maarufu ya meli mpya kila penye Ziwa, hizo pesa zitapatikana wapi ukizingatia ghadaffi ametangulia hukumuni, serikali inalipa hata mishahara kwa shida, wafadhili wameishaweka vizingiti vya kutuingizia ushoga ili tupate misaada, Ni lazima watanzania tujue wakati wa kufanya kazi kwa bidii ili kujiletea maendeleo yetu na ya nchi yetu wenyewe ni sasa, ASANTE MAGUFULI KWA KUSIMAMIA UKWELI, TUMECHOKA NA VIONGOZI AMBAO WANAISHI KWA KUFICHA UKWELI ILI MRADI WAPATE CHEAP PUBLICITY. na kwa upande wa magufuri, natarajia nikuone kwenye vyombo vya habari Ukifafanua kilichotokea kigamboni ili watanganyika tuelewe siri ya malalamiko haya dhidi yako.
 
Hafai iuwa rais,hata pressure kidogo tu ya wa kigamboni inamshinda,hana diplomasia,zero,hakuna wa kumchafua,anajichafua mwenyewe,wapuuzi wake wanaweka X hadi vituo vya magari,zahanati,mashule kisa sheria,sheria hiyo imetoka kwa mungu?


QUOTE=Tanzaniaist;3072057]Habari zenu wana JF!
Naona mwaka umeanza na tukio likimhusisha Mh.John Magufuli...! mimi kama Political exepert naweza kusema hizi ndizo mbinu za kisasa za kummaliza mtu kisiasa kwa kumchonganisha na wananchi au kumjengea chuki ndani ya jamii....!

Ikumbukwe Magufuli ni tishio kubwa kwenye vita ya uraisi 2015 ndani ya chama chake CCM! kutokana na msimamo na uchpa kazi wake...na ninaona wapinzani wake washaanza fitna na mbinu za kummaliza mapema!

Mfano mzuri...tulishuhudia kwa Dk.Ahmed Salim Ahmed alivyohusishwa na kifo cha karume na pia Hata Sumaye Kuhusishwa na Kashfa mbalimbali....

Tukija Suala la Kigamboni...,Tukiongea kiukweli Mh.John Magufuli alizalilishwa kwa kutukanwa na kuzomewa na wananchi...,ambao ni kama kikundi cha watu fulani hivi kilipangwa kumchefua...naye akawajibu kwa jazba akijua ni kikundi mahususi kilichowekwa kuchochea fitna dhidi yake! Magufuli tumemjua tangia 2000 alivyokuwa waziri wa wizara hiyo hiyo lakini mbona matukio kama hayo yalikuwa hayatokei au magufuli amebadilika! tujiulize?

Naomba Mh.Magufuli Aamke! ajue hizi zote ni mbinu za kisiasa kumdidimisha huku vyombo vya havari vikitumika kuhakikisha ndani ya mwaka 2015...hakubaliki ndani ya chama na ndani ya CCM![/QUOTE]
 
WEWE SIO POLITICAL ANALYST UNAJIKWEZA TU.kwanza hakuna mtu anayeitwa AHMED SALIM AHMED hapa tanzania,bali kuna salim Ahmed Salim.

Pili,suala la kupandisha nauli ya kivuko haliingiliani na urais hata kidogo,ni suala la utendaji na hali halisi ya maisha kwa sasa.kile kivuko ni sawa na daraja hivyo wananchi walitakiwa wapite bure.kwa kuwa nchi yetu ni maskini serikali ikaona angalau basi wananchi wachangie kidogo.
kilichotakiwa ni mh.magufuli,jembe la kazi awashirikishe wananchi wanaotumia kivuko hicho hususan wana kigamboni klupitia kwa wabunge wao au kwa kufanya mikutano ya hadhara kutoa elimu hiyo na kupokea mawazo/maoni ya wadau angepata ushirikiano mkubwa sana.sasa na wewe unajifanya mchambuzi wa masuala ya kisiasa kumbe unapotosha kabisa ukweli kwa kutokutambua baadhi ya mambo yanayoendelea.pamoja na utendaji mzuri wa magufuli lakini naye ni binadamu,anakosea na anapaswa kupokea maoni ya wanaompinga.
Safi sana mkuu waeleweshe wale wote wanaojifanya mungu watu!!
 
Kwa hili jf members naomba nitoe mawazo yangu.
Tukitaka kuengelea maendeleo endelevu "sustainable development" suala la kuchangia huduma za jamii haliepukiki, na ukipata huduma yoyote bure ujue someone, somewhere amesweat ili wewe uenjoy free service.
Kuhusu kivuko kina gharama kubwa tu katika uendeshaji kama vile mafuta ya kurun engines pamoja na generators, gharama za service na spares, gharama za mishahara kwa wafanyakazi, malipo ya insurance, malipo ya depreciation etc.
Ili iwe reliable service lazima mapato yawe juu ya matumizi. Huu ndio ukweli tukiachana na siasa.
Huyu Dr mbunge wa Kigamboni anajua huduma ya afya kwa Tanzania ni mbaya kwa sababu za kisiasa mwenye uwezo na asiyekuwa na uwezo, wakina wanawazito kutibiwa ni bure, watoto under 5 bure, wazee above 60 bure, wenye magonjwa sugu i.e HIV, Diabetis, pressure, tb bure,chakula bure kwa wagonjwa wote matokeo yake huduma ni mbovu.
SUALA LA KUJIULIZA KWA UCHUMI TULIONAO SASA MCHANGO WA SH.100 UNA MSAADA GANI UNAFIKIRI WEWE BINAFSI kuvuka kwa sh.100 ni sahihi.
HAPPY NEW YEAR

Kama petrol shiling 50 ilikuwa ishu we unaona mia ndogo...elimu na ufahamu wako ndio tatizo..pole sa kwa akili yako ku denature every time...
 
Kwanza kabla sijachangia ningependa kukuuliza wewe uliyeleta hii thread umelipwa shilingi ngapi na Magufuli kabla nami siujaenda kulipwa na aliyenituma.
Tatizo la siasa limetuathiri sana watanzania mpaka tumefikia linapotokea saula la msingi watu lazima waingize siasa ndo wajisikie vizuri, hivi hili suala la Magufuli na wananchi wa kigamboni linahusiana kivipi na uraisi 2015? Sio siri siasa imeshajichanganya na damu hasa kwa wanajf wengi. Jf waliweka jukwaa la siasa si kwamba walikosea, ila tunaangalia jinsi watu wanavyolitumia vibaya kwa nia wanayoijua wao au kwa lengo la kuanzisha porojo tu kama hii.
Nitarudi nisubiri naja
 
Kama petrol shiling 50 ilikuwa ishu we unaona mia ndogo...elimu na ufahamu wako ndio tatizo..pole sa kwa akili yako ku denature every time...

huyu alikuwa amesahau masuala ya uchumi unavyokwenda, alikuwa hajiulizi dola ya marekani inapopanda kwa senti hamsini tu juu ya shilingi yetu huwa tunathirikaje kiuchumi, si ndio hao hao viongozi wake huwa wa kwanza kutuelezea kuwa umasikini wetu umesababishwa na kupanda kwa dola ya marekani
 
Habari zenu wana JF!
Naona mwaka umeanza na tukio likimhusisha Mh.John Magufuli...! mimi kama Political exepert naweza kusema hizi ndizo mbinu za kisasa za kummaliza mtu kisiasa kwa kumchonganisha na wananchi au kumjengea chuki ndani ya jamii....!

Ikumbukwe Magufuli ni tishio kubwa kwenye vita ya uraisi 2015 ndani ya chama chake CCM! kutokana na msimamo na uchpa kazi wake...na ninaona wapinzani wake washaanza fitna na mbinu za kummaliza mapema!

Mfano mzuri...tulishuhudia kwa Dk.Ahmed Salim Ahmed alivyohusishwa na kifo cha karume na pia Hata Sumaye Kuhusishwa na Kashfa mbalimbali....

Tukija Suala la Kigamboni...,Tukiongea kiukweli Mh.John Magufuli alizalilishwa kwa kutukanwa na kuzomewa na wananchi...,ambao ni kama kikundi cha watu fulani hivi kilipangwa kumchefua...naye akawajibu kwa jazba akijua ni kikundi mahususi kilichowekwa kuchochea fitna dhidi yake! Magufuli tumemjua tangia 2000 alivyokuwa waziri wa wizara hiyo hiyo lakini mbona matukio kama hayo yalikuwa hayatokei au magufuli amebadilika! tujiulize?

Naomba Mh.Magufuli Aamke! ajue hizi zote ni mbinu za kisiasa kumdidimisha huku vyombo vya havari vikitumika kuhakikisha ndani ya mwaka 2015...hakubaliki ndani ya chama na ndani ya CCM!

Kakutuma uje umsafishe nini kama ni jazba aombe msamaha kwa umma na siyo kukutuma humu jf ni suala lisilokubalika eti kikundi cha watu wametumika ninavyojua na ninavyoamini wale walikuwa wakitetea haki zao na siyo kutumwa na mtu ama kundi la watu. Ametudhihirishia kiburi chake mbele yetu tulio mwajiri na matokeo ya jibu upupu alilotoa atayapata muda sio mrefu
 
mimi nilijua hilo mapema
wabunge wamenunuliwa ili kuchochea....
eti nauli isipande kwa miaka 14 waandamane
mbona daladala kila mwaka zinapanda hawaandamani???????

Na wewe unakurupuka kwakuchangia usichokijua kwani si ni haki ya wananchi wa kigamboni kuwekewa daraja pale na kutokana na serikali kushindwa kuliwela wameweka kivuko ambacho ni kutoa huduma na sio kufanya biashara iweje sasa waweke bei ambayo imepanda kwa asilimia mia? Ambayo inaonyesha ni maslahi binafsi
 
Mie sioni kosa la Magufuli kuomba msamaha kama nae walimzomea.Ni utovu wa nidhamu kumzomea kiongozi wako.Haya mambo ya nidhamu ndiyo yanayorudisha nyuma Taifa hili.Unatumwa kazi na kiongozi wako halafu unaamua kumgomea,akitaka kukuwajibisha unamsemelea kwa boss wake kwa sababu wewe ni mtoto wa Kigogo.Kama ni kuomba msamaha wao wanakigamboni ndio wamuombe msamaha kwa kumzomea.wao walilianzisha akawamaliza,sasa yeye kawapiga Kigongo cha ukweliukweli kimewauma, wanabadilisha mada eti hawagomi kwa sanbabu ya 200/=.Upuuzi mtupu.Mlipe nauli msipende Dezo, Magamba mliwachagua wenyewe.
 
Maguta hayatakiwi Jijini ,yaishie hukohuko kwenu,kwanza yatuongezea foleni,sehemu ya kwenda speed 100, unaenda 5.yanatakiwa yatozwe 10,000/=
 
kweli hata mimi nimeona hili suala liko kisiasa zaidi. Yani wabunge wa dar walivyo lishikia bango hata mimi nimeshangaa.
Ukweli ni kwamba gharama za uendeshaji lazima zitakuwa zimeongezeka hata pipi mwaka 1995 ilikuwa shs 10 leo hii shs 50.
Wajua tanzania siku hizi kila kitu kinageuzwa siasa watu wanatafta jinsi ya kupata umaarufu.
Makufuri kawa victim wa hii kitu.
 
Waungwana nadhani inabidi tuwe wakweli wakati mwingine. huyu Magufuli tunajua anautaka uraisi but hili la kigamboni halihusiani. Kupanda kwa bei ya kivuko sio dhambi maana hata nauli za daladala zinapanda kila siku. nowadays hata bajaj na piki piki bei zimepanda. Matatizo ni mawili hapa. (1) Wizara ilitakiwa izibe mianya yote ya rushwa na ubadhirifu pale kwenye kivuko kwanza kabla ya kufikiria kupandisha bei. ni dhambi kwa mtu yeyote umuongezee garama wakati anaona hata hiyo ndogo anayoilipa inaliwa na watu wachache.
(2) Lugha aliyoitumia Magufuli baada ya kuzomewa sio ya kistaarabu. Ananifanya niamini kuwa yeye sio mwanasiasa bali ni mtendaji. Mwanasiasa anajua kabisa kuwa akikubali kushangiliwa ipo siku atazomewa tu... ndo nature ya politics.
Kwenye swala la uraisi, ni kuwa hata kama asingekuwa kwa magamba akawa CDM au hata TLP bao hafai kuwa raisi. hata uwaziri mkuu hauwezi. Jazba na kiburi na kutofata protocal kutafanya taasisi ya uraisi ikose heshima.

Wabunge wa Dar nao ki kama mazezeta. wasiwe wanaendeshwa kwa kigezo cha kukosa kura kwenye kila issue. Kuna maswala ya msingi ya kusemea na kulalamika kwa serikali kuliko nauli ya kivuko. Hospitali zote wagonjwa wanalala chini, mbona wao hawasemi?
Ufisadi unaendelea nchi nzima na wao wanaubariki tu.
Madini yanauzwa na nchi inabaki na mashimo, ukilalamika wanaanza eti oh hao ni wapinzani tu ila sera za CCM ni nzuri.
In short hawa wabunge hasa wa magamba wanatafuta cheap popularity.
Magufuli ajifunze siasa kwanza kabla ya kwenda mbele za watu. Watanzania wakishirikishwa wanaelewa sana na ni watu wema sana. Asiwakaripie tu. Alipoona ameshangiliwa kule Igunga akajua kila sehemu ni vicheko tu. kazi ni kwake.
its inhuman mtu aone hela yake inaibiwa then unamwambia apige mbizi ili avuke kuja upande wa pili.
 
Back
Top Bottom