,Aisee Jamani inaelekea hizo posho za EL ni nono sana...,Haya kijana Kasign Posho yako ya Leo
WEWE SIO POLITICAL ANALYST UNAJIKWEZA TU.kwanza hakuna mtu anayeitwa AHMED SALIM AHMED hapa tanzania,bali kuna salim Ahmed Salim.
Pili,suala la kupandisha nauli ya kivuko haliingiliani na urais hata kidogo,ni suala la utendaji na hali halisi ya maisha kwa sasa.kile kivuko ni sawa na daraja hivyo wananchi walitakiwa wapite bure.kwa kuwa nchi yetu ni maskini serikali ikaona angalau basi wananchi wachangie kidogo.
kilichotakiwa ni mh.magufuli,jembe la kazi awashirikishe wananchi wanaotumia kivuko hicho hususan wana kigamboni klupitia kwa wabunge wao au kwa kufanya mikutano ya hadhara kutoa elimu hiyo na kupokea mawazo/maoni ya wadau angepata ushirikiano mkubwa sana.sasa na wewe unajifanya mchambuzi wa masuala ya kisiasa kumbe unapotosha kabisa ukweli kwa kutokutambua baadhi ya mambo yanayoendelea.pamoja na utendaji mzuri wa magufuli lakini naye ni binadamu,anakosea na anapaswa kupokea maoni ya wanaompinga.
Wakuu heshima kwenu,
unatakiwa kutumia akili kidogo kubaini suala la Dr Magufuli linakuzwa na kutumiwa na wapinzani wake wakubwa kisiasa kummaliza kabla ya mwaka 2015.Wabunge wa Dar wameshadadia utadhani ni jambo la maana nauli haijapanda kwa zaidi ya miaka kumi na nne hawalioni.Nauli za daladala zimepanda,nauli za mabasi yaendayo mikoani zimepanda,bei za bidhaa mbali mbali zinapanda kila kukicha ongezeko la tsh 100 inakuwa nongwa.Mbona hamkuandamana mlipoambiwa ndege ya Rais lazima inunuliwe ikibidi mtakula majani ?.
Ktk hili suala la Dr.Magufuli naona KATIKATI wewe ndiye unastahili kupewa elimu tena si ndogo bali ya muda na zana za mazoezi ya vitendo,Kama unafikia sehemu unakiita kivuko ni sawa na daraja pole sana ila si bure una lako jambo.Kama si maslahi kutoka meza za mafisadi basi ni chuki binafsi na msongo wa mawazo utokanao na siasa chafu za nchi yako tanzania.Pole..........
Duh yaani Tanzania sasa kila kitu kinahusishwa na Urais! Mtu akizomewa ni Urais 2015, mtu akienda kusali kanisani ni Urais 2015, mtu akiwambia watu wapige mbizi kuvuka bahari ni Urais 2015, mtu akiugua ni Urais 2015! Urais 2015, Urais 2015!!
magufuli arudishe nyumba za serikali alizoiba..
anatembea ndani ya vx,kwake mia mbili ndogo lakini kwa wananchi ni kubwa
magufuli rais??give me a break
Ktk hili suala la Dr.Magufuli naona KATIKATI wewe ndiye unastahili kupewa elimu tena si ndogo bali ya muda na zana za mazoezi ya vitendo,Kama unafikia sehemu unakiita kivuko ni sawa na daraja pole sana ila si bure una lako jambo.Kama si maslahi kutoka meza za mafisadi basi ni chuki binafsi na msongo wa mawazo utokanao na siasa chafu za nchi yako tanzania.Pole..........
Aisee Jamani inaelekea hizo posho za EL ni nono sana...,Haya kijana Kasign Posho yako ya Leo
Jibu hoja' ni haki guta kulipishwa 1500 huku VX ikilipia 2000? Ilishindikana vyp Magufuli kuwashirikisha wadau? Mambo ya Top-down yanakwisha sasa hv!
Na hii je alienda kwa babu wa Loliondo kwa ajili ya urais?