Suala la Mafao, mambo yamekuwa mazito. Wafanyakazi wameamua kususia sensa

Msipohesabiwa tutawakadiria. Level of confidence ni kubwa kwa sample hiyo ya watakaokubali kuhesabiwa
 
Kutohesabiwa sawa...kwa serikali yetu itajari? Itaenda hesabu wakulima,wafanyabiashara na wafugaji na itasema zoezi limefanikiwa! Hapa ni kuiadabisha serikali kwa kuchukua hatua.Blogs zinatosha kupashana habari. Suara hili ni maisha yetu na tusilete ushabiki wa vyama,tukumbuke wanasiasa ndo walopitisha janga hili tujitenge nao kwanza ili wasijizolef umaarufu mgongoni kwe2.Tuamke jamani!
 
Heading ingekua WAFANYAKAZI WA SEKTA BINAFSI na sio wafanyakazi wote.

kwani wale waajiriwa wa serikali kuu na wale wa TAMISEMI siku zote wamekua hawana hiyo priviledge ya kujitoa kwenye mifuko yao ya PSPF na LAPF.

Hata ukifanya kazi miaka 20 lakini ukawa haujatimiza umri wa kustaafu huwezi kulipwa mafao ya kujitoa kwenye hiyo mifuko pamoja na kuwa na wao wanachangia asilimia 20% ya mishahara yao kila mwezi.

Hiyo mifuko ya PSPF na LAPF pamoja na wa ZSSF(kwa Zanzibar) imeshaset precedence ya hii sheria mpya kuanza kutumika mpaka kwenye sekta binafsi. Sababu tutaambiwa hata hao wengine nao ni watanzania na wana matatizo
kama yetu sote.
 
Mh! waislam wamesema wataigomea, wafanyakazi wataigomea, wakulima wataigomea sasa nani ataisabiwa? nachoona hapa tutapata takwimu za kugushi hakutakuwa na takwimu halisi kwa mtindo huu.
 
Nimeipenda hii, tena naunga mkono hoja,
kwetu tutafunga mlango na tutaishia bichi kula upepo.
tena jirani zangu wote ni waislamu nao najua walishakataa mapema
kuhesabiwa itabidi tukodi kosta wote tuhamie bichi.
 
JK uliambiwa nchi haitatawalika ukawa unacheka cheka sasa kazi ndo imeanza ...ugali moto mchuzi moto...

sasa pale anapokomaa kumeza tonge la moto na mchuzi wa moto anabaki kutoa macho na mchozi.
 
Mimi kama kuna mwana siasa anataka tumkumbuke achukue hili jukumu la kuongoza maandamano. Hii serikali ni kama komando yosso, wezi sana hawa wadudu.
Ni vigumu kumpata huyo mwanasiasa kwa sababu tegemeo kubwa ingekuwa ni wabunge ambao ndio walisinzia mswada wa ukapita. Wanaogopa kula matapishi yao.
 
Nimeipenda hii, tena naunga mkono hoja,
kwetu tutafunga mlango na tutaishia bichi kula upepo.
tena jirani zangu wote ni waislamu nao najua walishakataa mapema
kuhesabiwa itabidi tukodi kosta wote tuhamie bichi.

Sina haja ya kwenda popote ila kwa bahati mbaya sitakuwa na muda wa kuhojiana na mtu kuhusu sensa. Kwani kutaka kushikilia haki zetu (mafao) kulihitaji kujua idadi ya watu?
 
Heading ingekua WAFANYAKAZI WA SEKTA BINAFSI na sio wafanyakazi wote.

kwani wale waajiriwa wa serikali kuu na wale wa TAMISEMI siku zote wamekua hawana hiyo priviledge ya kujitoa kwenye mifuko yao ya PSPF na LAPF.

Hata ukifanya kazi miaka 20 lakini ukawa haujatimiza umri wa kustaafu huwezi kulipwa mafao ya kujitoa kwenye hiyo mifuko pamoja na kuwa na wao wanachangia asilimia 20% ya mishahara yao kila mwezi.

Hiyo mifuko ya PSPF na LAPF pamoja na wa ZSSF(kwa Zanzibar) imeshaset precedence ya hii sheria mpya kuanza kutumika mpaka kwenye sekta binafsi. Sababu tutaambiwa hata hao wengine nao ni watanzania na wana matatizo
kama yetu sote.

Hainiingii akilini. Kwani mtu akiacha kazi anaendeleaje kuwa mwanachama wakati hachangii? Au katika hizo sekta hakuna kuacha au kuachishwa kazi?
 
Msipohesabiwa tutawakadiria. Level of confidence ni kubwa kwa sample hiyo ya watakaokubali kuhesabiwa

Mkuu! Umepitia stastistics? Maana ulipogusia level of confidence umenikumbusha izo calculation za Ho na Ha.
 
Wafanyakazi pamoja na Familia zao wameamua kugomea sensa.

Serikali inatakiwa itoe suluhisho la mafao haraka kabla tarehe ya SENSA.

SOURCE: RADIO ONE HABARI
idadi yenu inafahamika poor strategy.mkajipange upya.
 
Hainiingii akilini. Kwani mtu akiacha kazi anaendeleaje kuwa mwanachama wakati hachangii? Au katika hizo sekta hakuna kuacha au kuachishwa kazi?

Ningefurahi sana kama wengi tungemuelea Sober.
Watu wengi hawalijui hilo.
Sheria hii haikupitishwa mwaka huu wala si ya miaka 5 iliyopita..
Sheria hii ilipitishwa na binge enzi Sumaye kama waziri mkuu,kipindi hicho wengi hawakuona ni issue sababu ni wafanyakazi wa serikali tu waliguswa,na tunakumbuka private sectors walikuwa hawajashika kasi kama leo kwa ubinafishwaji na mikataba feki ya madini ndiyo ilikuwa jikoni.

Kilichotokea sheria ya kuundwa chombo cha usimamizi wa mifuko ndiyo iliyopitishwa na bunge la April mwaka huu.
Chombo hiki kimekusanya sheria zote za mifuko hii na kutengeneza sheria za kusimamia,na hapo hiki mnachokilalamikia kimejitokeza.
Kwa maana hiyo ni vigumu sana kukihengua kifungu hicho cha sheria bila kuundwa sheria nyingine itakayopingana na hicho kifungu.
Sasa sijui serikali yenu sikivu itafanya nini?
 
Wafanyakazi pamoja na Familia zao wameamua kugomea sensa.

Serikali inatakiwa itoe suluhisho la mafao haraka kabla tarehe ya SENSA.

SOURCE: RADIO ONE HABARI

Mimi na familia yangu hatuendi,nikahesabiwe ili iweje.Nitimize malengo ya Freemasons,no way.Hawa washenzi wanataka wajue mikakati yao imefika wapi,hawanipati,angalau niwakwamishe kwa hilo.
 
Back
Top Bottom