Suala la madini Tanzania; Kanuni ya 'Wagawanye ili uwatawale' inafanya kazi

Tatizo siyo CCM, Tatizo ni Viongozi wa CCM wanaopandikiza Chuki,visasi na ubaguzi miongoni mwa Watanzania ili kwa pamoja tushinde kutetea raslimali zetu hao ni wakwanza.Wa pili ni wanaccm wanao fikiria chuki,Ubaguzi na visasi kwa Wapinzani ndiyo CCM italeta Maendeleo bila kujua hata Wapinzani ni Watanzania wenye haki sawa na wao.

Siku wanaccm hawa watakaporealise kwamba Wapinzani ni Watanzania wenye haki sawa na CCM ndipo Maendeleo yatakapokuja.

Maendeleo hayaji kwenye chuki na ubaguzi. Wanaccm walitakiwa wawachukie watawala waliojilimbikizia Mali na si Wapinzani lakini kwa sababu ya kukosa elimu wanaccm wamekuwa wakiaminishwa kwamba Wapinzani ni adui wa Maendeleo wakati adui wa Maendeleo ni wale tuliowapa dhamana ya kutuongoza.

Ni wakati umefika wa wanaccm kusema.basi kwenye Chuki na ubaguzi ili tupate Maendeleo
Mjadala hapa ni mchanga wa Madini.
 
Kuna Mpinzani aliyekataa hilo au hukuwaelewa waliochangia Michango yao kwenye Sakaya zina?

Lissu amesema vyema nini tunatakiwa kufanya ili tushinde ulitaka tufanye je??

Tumpigie makofi aliyekuwako miaka 20 iliyopita ambaye ndiyo chanzo cha miswada mibovu ya sheria za madini??

Uliyaka tupongeze aliyechoma nyumba na sasa anarealise nyumba imechomwa.maana walipoambiwa na Wapinzani waliwatukana na kuwadhalilisha?

Uliwahi kumsupport Lissu alipowekwa jela kwa ajili ya kutetea Raslimali za Taifa??

Kama.hujaelewa ni bora kuuliza.

Lakini kumsifia na kumpongeza JPM ati kisa ametoa amri mchanga upimwe wakati yeye ni kati ya waliokuwa wanapiga makofi Kwenye hiyo misaada,duh kaka Tafadhali kuwa kidogo na ukweli.
Mleta mada ni boga la kiangazi, linalokomaa kwa jua badala ya maji na kipupwe, na hao wako wengi. Wajinga kwenye kundi hawakosekani. Ungumbaru wa elimu ya siasa, sayansi ya siasa, sayansi ya jamii na uchumi ni hasara ktk taifa.
Ndiyo maana leo tunashuhudia taifa là maigizo badala ya taifa la wawajibikaji. Tuna maneno ya kijinga kwa wajinga wengi bila kujua kuwa huo ni ujinga.
Tangu wapinzani walipopiga kelele wengine mlikuwa mbwinde mnakula matembele na misusa isiyo hata na chumvi.
Viongozi wa Ccm na serikali yake hakuna mgeni toka Mbinguni, au Ahera kwamba hakushirika kuuweka msuguano uanoendelea.
Walipokuwa wanausimika msuguano tulilia machozi ya damu, lakini mlituona wajinga, sasa ni zamu yenu kuonekana wajinga. Hakunà Mtanzania anayevaa chupi yenye alama ya bendera ya Tanzania, zaidi ya mitumba tuu. Haya mliyajenga na mlidhani dunia itawaunga mkono mtakapotaka kudhihirisha UNAFIKI wenu. Mzunguko wa dunia hauamriwi na mtu yeyote, sasa mtaimbua dunia ya unafiki.
 
Umeeleza vya kutosha, na mwizi akishagunduwa waliobiwa hawaungani basi atatumia mwanya huo huo kueneza propaganda zake kwa kila aina, subiri pesa zitagavyomwagika sehemu husika! Ila mwenye thread, nakuuliza swali, hivi kama ingekuwa ni sisi Watanzania tunwaibia UK wafikiri Waingereza wangegawanyika kwa hili?! Wale wahamiaji tu wanaipata fresh je wangekuwa wanachota zile dhahabu Bank of England(ambazo wengi wanadai hazijachimbwa UK) wafikiri ingekuwaje?! Hivi tunavyoongea si ajabu manowari za kivita zingeshatinga karibu na Tanzania! Fanya mchezo na wazungu, Falklands tu ilileta balaa pamoja na kwamba kile kisiwa ni cha Argentina! Mwingireza kakataa katu katu kukirudisha kisa mafuta! Acha kabisa...

Unadhani wanaotugawa ni wazungu au wawekezaji??

Hivi Lissu kwanini aliwekwa jela miezi mitatu kwa kosa la Uchochezi wakati anapiga nia Raslimali zetu!Hebu jiulize kuna mwanaccm hata mmoja aliyesimama na Lissu?Je kuna mwanaccm hata mmoja aliye ona na kuelewa hili akipiga kelele?

Wanaccm wengi walifika mahali wanasema ni bora Lissu anyongwe tu,wapo hata hapa JF wengine walidiriki kuandika,Leo kuna sababu ya kusifia JPM. Si ndiye Huyu aliyepaza sauti ya kuwadhalilisha Wapinzani kwamba hawajui lolote wapumbavu tu leo tinahitajika tusifie??

Si ndiye huyu leo kawaida Wapinzani mafudenge unategemea umoja utoke wapi??

Nani alimwambia CCM wanaadvocate kwa umoja wa Watanzania?? Ingekuwa kweli basi tusingesikia maeneo waliyoshika Wapinzani yana matatizo,tusingesikia wizi wa pesa za Halmashauri zinazoratibiwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha na Waziri Simbachawene ukiendela na Rais amenyamaza,kwa sababu ni.Upinzani.

Umoja wetu utakuja tutakapopata Rais mwenye uchungu kweli na Taifa lake siyo huyu mwenye asili ya kitutsi!

Umoja wetu hatuwezi kujenga kwenye issue ya Mchanga, umoja wetu unatakiwa uwe nje ya Mchanga. Umoja wetu ndiyo Maendeleo yetu lakini wanaccm mko radhi Kwenye kuona Hata Wapinzani ni Watanzania??

Au Mara zote mmekuwa mkiwatukana na kuwa kebehi Wapinzani na kuwasifia wapiga madeal majambazi ya Raslimali zetu akianzia na Mkapa na JK.
 
Unadhani wanaotugawa ni wazungu au wawekezaji??

Hivi Lissu kwanini aliwekwa jela miezi mitatu kwa kosa la Uchochezi wakati anapiga nia Raslimali zetu!Hebu jiulize kuna mwanaccm hata mmoja aliyesimama na Lissu?Je kuna mwanaccm hata mmoja aliye ona na kuelewa hili akipiga kelele?

Wanaccm wengi walifika mahali wanasema ni bora Lissu anyongwe tu,wapo hata hapa JF wengine walidiriki kuandika,Leo kuna sababu ya kusifia JPM. Si ndiye Huyu aliyepaza sauti ya kuwadhalilisha Wapinzani kwamba hawajui lolote wapumbavu tu leo tinahitajika tusifie??

Si ndiye huyu leo kawaida Wapinzani mafudenge unategemea umoja utoke wapi??

Nani alimwambia CCM wanaadvocate kwa umoja wa Watanzania?? Ingekuwa kweli basi tusingesikia maeneo waliyoshika Wapinzani yana matatizo,tusingesikia wizi wa pesa za Halmashauri zinazoratibiwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha na Waziri Simbachawene ukiendela na Rais amenyamaza,kwa sababu ni.Upinzani.

Umoja wetu utakuja tutakapopata Rais mwenye uchungu kweli na Taifa lake siyo huyu mwenye asili ya kitutsi!

Umoja wetu hatuwezi kujenga kwenye issue ya Mchanga, umoja wetu unatakiwa uwe nje ya Mchanga. Umoja wetu ndiyo Maendeleo yetu lakini wanaccm mko radhi Kwenye kuona Hata Wapinzani ni Watanzania??

Au Mara zote mmekuwa mkiwatukana na kuwa kebehi Wapinzani na kuwasifia wapiga madeal majambazi ya Raslimali zetu akianzia na Mkapa na JK.
Nadhani hukuwahi kujua kwa nn aliwekwa ndani.Ni dhahiri si wizi huu wa udanganyifu na rushwa.
 
Mjadala hapa ni mchanga wa Madini.

Huwezi kupata muafaka kwenye madini kama hakuna umoja na ushirikiano kati yetu.Lissu ametoa angalizo na wayfoward lakini wanaccm mko busy kumkejeli na kumtukana,kama bandiko lako lilivyo.

Bila umoja,Upendo na mshikamano katika Taifa hakuna Mchanga wala cement.
 
Nadhani hukuwahi kujua kwa nn aliwekwa ndani.Ni dhahiri si wizi huu wa udanganyifu na rushwa.

Aliwekwa ndani baada ya kuweka report ya wizi unaofanywa kwenye Migodi pamoja na kuua wtaanzani wasio an hatia.

Na uzuri ameeleza tena kilichotokea na wayfoward. mwenzio anayo mikataba wewe unayefanya guess work huwezi kumuelewa.

Lakini Umoja na mshikamano ndiyo tunavyovihitaji kwa sasa.Wanaccm mkidhani hili Ni la CCM basi subiri ni mpihwe tena ndipo mtajua maharage kama ni mboga na futari pia.
 
Suala hapa siyo upungufu wa sheria.Suala ni upungufu wa maadili kwa baadhi ya watz waliokabidhiwa jukumu la kusimamia(TMAA).Mwekezaji amerubuni baadhi ya watz wenzetu.Sasa rais hapo anakosa?Hatua anazowachukulia hazitoshi?
Hakuna mtu wa TMAA aliyerubuniwa. Hakuna kitu ambacho hakikujulikana. Lisu ameanza harakati tangu akiwa LEAT. Bungeni wapinzani walilalamika sana. Leo msijikoshe kwa hilo, Rais wetu na wenzake wanabeba lawama kwani walijifanya vipofu wàkati wapinzani wanalalamika na kupigia kelele udhaifu uliokuwepo serikalini. Mpaka sasa ccm wanayo tabia ya kulinda maslahi ya chama kwa kubinya wabunge wake wasiikosoe serikali. Sasa kuna ujinga zaidi ya huo? Kuna unafiki zaidi ya huo?
 
Mleta mada ni boga la kiangazi, linalokomaa kwa jua badala ya maji na kipupwe, na hao wako wengi. Wajinga kwenye kundi hawakosekani. Ungumbaru wa elimu ya siasa, sayansi ya siasa, sayansi ya jamii na uchumi ni hasara ktk taifa.
Ndiyo maana leo tunashuhudia taifa là maigizo badala ya taifa la wawajibikaji. Tuna maneno ya kijinga kwa wajinga wengi bila kujua kuwa huo ni ujinga.
Tangu wapinzani walipopiga kelele wengine mlikuwa mbwinde mnakula matembele na misusa isiyo hata na chumvi.
Viongozi wa Ccm na serikali yake hakuna mgeni toka Mbinguni, au Ahera kwamba hakushirika kuuweka msuguano uanoendelea.
Walipokuwa wanausimika msuguano tulilia machozi ya damu, lakini mlituona wajinga, sasa ni zamu yenu kuonekana wajinga. Hakunà Mtanzania anayevaa chupi yenye alama ya bendera ya Tanzania, zaidi ya mitumba tuu. Haya mliyajenga na mlidhani dunia itawaunga mkono mtakapotaka kudhihirisha UNAFIKI wenu. Mzunguko wa dunia hauamriwi na mtu yeyote, sasa mtaimbua dunia ya unafiki.
Sidhani kama maombi yako yatafanikiwa.Dua la kuku halimpati mwewe.TZ imevuka vikwazo Vingi vigumu.Nani alitarajia 2015 tutapita salama?.Mm naamini pamoja na baadhi ya watu kuiombea mabaya TZ bado tutapita salama.Hata Acacia watashika adabu yao.Hata sasa hawaamini kilichowapata.
 
Mleta mada ni boga la kiangazi, linalokomaa kwa jua badala ya maji na kipupwe, na hao wako wengi. Wajinga kwenye kundi hawakosekani. Ungumbaru wa elimu ya siasa, sayansi ya siasa, sayansi ya jamii na uchumi ni hasara ktk taifa.
Ndiyo maana leo tunashuhudia taifa là maigizo badala ya taifa la wawajibikaji. Tuna maneno ya kijinga kwa wajinga wengi bila kujua kuwa huo ni ujinga.
Tangu wapinzani walipopiga kelele wengine mlikuwa mbwinde mnakula matembele na misusa isiyo hata na chumvi.
Viongozi wa Ccm na serikali yake hakuna mgeni toka Mbinguni, au Ahera kwamba hakushirika kuuweka msuguano uanoendelea.
Walipokuwa wanausimika msuguano tulilia machozi ya damu, lakini mlituona wajinga, sasa ni zamu yenu kuonekana wajinga. Hakunà Mtanzania anayevaa chupi yenye alama ya bendera ya Tanzania, zaidi ya mitumba tuu. Haya mliyajenga na mlidhani dunia itawaunga mkono mtakapotaka kudhihirisha UNAFIKI wenu. Mzunguko wa dunia hauamriwi na mtu yeyote, sasa mtaimbua dunia ya unafiki.

Chuki,Ubaguzi, visasi na majivuno vimeliua Taifa kiuchumi.

Napata hasira sana kuona badala ya kulitetea Taifa Watawala wako busy kwenye vijembe na kuendeleza chuki,Ubaguzi na visasi.

Wakisemacho mdomo ni sicho wakitendacho mchana. Naona huruma kwa wanaccm watakapoamka toka usingizini kugundua kwamba waliaminishwa Upinzani ndiyo tatizo na kuja kuelewa kwamba Wenyeviti wao na wabunge wao ndiyo tatizo.
 
Mb
Hakuna mtu wa TMAA aliyerubuniwa. Hakuna kitu ambacho hakikujulikana. Lisu ameanza harakati tangu akiwa LEAT. Bungeni wapinzani walilalamika sana. Leo msijikoshe kwa hilo, Rais wetu na wenzake wanabeba lawama kwani walijifanya vipofu wàkati wapinzani wanalalamika na kupigia kelele udhaifu uliokuwepo serikalini. Mpaka sasa ccm wanayo tabia ya kulinda maslahi ya chama kwa kubinya wabunge wake wasiikosoe serikali. Sasa kuna ujinga zaidi ya huo? Kuna unafiki zaidi ya huo?
Mbona hutaji Lissu kilichomweka ndani?.Wala haina uhusiano na ubadhirifu huu.
 
Sidhani kama maombi yako yatafanikiwa.Dua la kuku halimpati mwewe.TZ imevuka vikwazo Vingi vigumu.Nani alitarajia 2015 tutapita salama?.Mm naamini pamoja na baadhi ya watu kuiombea mabaya TZ bado tutapita salama.Hata Acacia watashika adabu yao.Hata sasa hawaamini kilichowapata.

Hakuna dua la kuku hapo ni ukweli ambao wanaccm mnatakiwa muujue mapema kabla ya mvua za masika.

Mawili mfuate ushauri wa akina Lissu au mfuate ushauri wa Bashite mpigwe mrudi mnalalama.
 
Mb
Mbona hutaji Lissu kilichomweka ndani?.Wala haina uhusiano na ubadhirifu huu.

Huelwei wewe,nimekueleza kilicjomweka ndani Lissu ni report aliyoanika kuhusu Taifa kuibiwa raslimali zake za madini kwenye Mikataba hii ya hovyo.Hivi hauelewi au unafanya makusudi?

Jangili mwenzenu Mkapa ndiyo sababu ya Lissu kuwekwa Kizuizini.
 
Hakuna dua la kuku hapo ni ukweli ambao wanaccm mnatakiwa muujue mapema kabla ya mvua za masika.

Mawili mfuate ushauri wa akina Lissu au mfuate ushauri wa Bashite mpigwe mrudi mnalalama.
Ushauri wa Lissu hata mm nisiyesoma sheria nauona una mapungufu makubwa.Ushauri wake ukifuatwa utapelekea TZ kukimbiwa na wawekezaji milele.
 
Mleta mada hongera sana, yaani umeongea point kubwa sana!. Hata kama tumewahi kukosea kwenye ishu ya mikataba, ni lazima tuungane, tukomae, tupige kelele ili hata kama mwekezaji yuko sahihi kisheria, lakini Morally hayuko sahihi, tunahitaji sisi kama Taifa kuwa kitu kimoja ili moral force yetu imtie aibu mwekezaji ili turenogotiate win-win.
Mwekezaji akigundua kuna watu wanamuogopa na wanaside naye kwa ajili ya cheap politics atatusumbua mno!
 
Ushauri wa Lissu hata mm nisiyesoma sheria nauona una mapungufu makubwa.Ushauri wake ukifuatwa utapelekea TZ kukimbiwa na wawekezaji milele.

Sasa wenzako wa nchi nyingine zinaOjua nini maana ya political economy zilifanya.Wewe endelea kufanya Ubaguzi,visasi na chuki utafanikiwa.

Hongera sana wasalimie Lumumba
 
Huelwei wewe,nimekueleza kilicjomweka ndani Lissu ni report aliyoanika kuhusu Taifa kuibiwa raslimali zake za madini kwenye Mikataba hii ya hovyo.Hivi hauelewi au unafanya makusudi?

Jangili mwenzenu Mkapa ndiyo sababu ya Lissu kuwekwa Kizuizini.
Sasa wizi huu wa kuweka Madini mengi kwenye mchanga(mineral sand) kwenye makontena yanayosafirishwa kwenda nje kuchenjuliwa,inahusianaje na mktaba uliopo?.Haya Madini si yameachwa makusudi(wizi) ili kuliibia taifa.Si huu ni uzembe wa wasimamizi?.Mikataba hapo kasoro take nini?.
 
Watanzania hawampingi Rais bali wanapinga kitendo cha chama chake CCM kuwapa 96% Ya madini wakati disi tukipata 4%,
pia wanampinga kwa kuwalinda waliotufikisha hapa kwa kusema hafukui kaburi
 
Sasa wenzako wa nchi nyingine zinaOjua nini maana ya political economy zilifanya.Wewe endelea kufanya Ubaguzi,visasi na chuki utafanikiwa.

Hongera sana wasalimie Lumumba
Nimeeleza upo ushauri mzuri wa upinzani unaopaswa kufuatwa.Nimetolea ushauri usiokuwa na jazba wa mbunge wa Mtwara mjini Maftah Nachuma(CUF)
 
Back
Top Bottom